Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Mie napatwa na wasi wasi kweli, maana sio kawaida, na venye mali zote kaandika mama ake ndo nazidi kupatwa na bumbuazi.
umeona eh? yan hio picha ya pili imenipa ukakasi kidogo, hata ningekua mimi mwanangu wa kiume na busu la aina hio hapana
 
Wanawake bwana mtu mnalala kitanda kimoja miaka ila yeye na mahesabu yake tofauti.

Shetani sijui aliona nini kwao mpaka akaamua kuwafuata.
 
Wabongo mna ujuaji wa kifala kwahiyo ww unaijua sheria kuliko majaji wa mahakama ya Ufaransa?
Haya tuambie una shahada ngapi za sheria mpaka unakuja kuwakosoa majaji wa kifaransa.
Kenge hilo jamaa. Na nina mashaka ni li bottom pia. Narudia ni kenge hilo.! K#m@ kabisa huyo
 
Hii ni sehemu huru ya majadiliano. Acha matusi. Sina shahada. Nina busara tu. Digrii sio busara. Kwa taarifa yako. Mahakama imebaini tu. Haijatoa uamuzi.
Acha ufalla. Intention yako na reaction yako juu ya Hakimi umeshindwa kuificha. Ulitegemea kusikia Hakimi kafilisiwa ili ufurahi. Hakuna kenge yeyote wa kuchukua mali za Hakimi na mahakama ishaamua hivyo. Pambaneni na mahakama zenu za Bongo acheni u much know
 
umeona eh? yan hio picha ya pili imenipa ukakasi kidogo, hata ningekua mimi mwanangu wa kiume na busu la aina hio hapana
Ukute wanakulanaa hawa, afu mie sikujua km Hakim ana mke na watoto, hivi mkewe alikua anajisikiaje akiona mumewe na mama mkwe wana kiss tena hadharani, woiiiiiiiii
Had aibuuu km sio uchurooo, hakim na mama ake wanakulana hawaa.
 
Ukute wanakulanaa hawa, afu mie sikujua km Hakim ana mke na watoto, hivi mkewe alikua anajisikiaje akiona mumewe na mama mkwe wana kiss tena hadharani, woiiiiiiiii
Had aibuuu km sio uchurooo, hakim na mama ake wanakulana hawaa.
haha mimi huko sina ushahidi kwa kweli kuna kama mapenzi fulani yamepitiliza baina yao ukute mkewe alikua hajali sababu tu s mama yake mzazi bwana
 

Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.

Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.

Inaelezwa kuwa mahakama imebaini Ashraf Hakimi alishaweka mali zake zote kwa jina la mama yake muda mrefu uliopita.
Hii ishu sijui kuhusu mama yake.
Ishu ikija kama mama yake anawatoto wengine mbaya zaidi kama amezaa na wanaume tofauti

siku akitangulia hizo mali kwa vile zipo kwa majina ya mama zitagawanya sawasawa na wadogo zake na kaka zake
mbaya zaidi kuwe kuna mmoja anakiburi kitachimbika sana
Anyway sijajua kuhusu kwao inawezekana yupo pekeake kwa mama yake, kama ni hivyo itakuwa fresh
 
Kumbuka hela amepata sheria ya spain au paris ....sio za morroco.....Ile transfer fund wana trace bibi anaitwa court aseme anapata wapi cash flow atasema kutoka mwanae ambae anafanya kazi ulaya .....kesi bado mbichi
Case imeshaisha. Kule siyo huko Tanganyika kwenu, kule ni Ulaya. Unaelewa we' kolo? Ndo ishaisha hiyo.
 
Hahahahahha hapo inabid labda kwenye familia uwepo ww na mama yako na muwe mnakaa mbali mfano ndugu wapo zaire nyinyi mpo canada huku and no one knows
Hichi kitu na chenyew ni Cha kufikiria mkuu, mbona Jambo Dogo tu unandika kwenye mali kua atakae zisimamia ni huyo Hakimi japo mmiliki na Ni mama yake Alf kuna ile kitu inaitwa will (wosia) maana yake before death mama atandika mrithi wa mali atakua ni Hakimi full stop kwaiy mali inarudi kwa Hakim Alf nikwambie hakuna ndugu kutoka nje ya fimilia yenu aje kudai mali ya ndugu yake hicho kitu hakipo na hata kama kipo ni Asilimia ndogo.
Na ni Bora zaidi wadogo zangu na kaka zangu ambao ni damu Moja pure ambao wanazijuua hustle zangu since day one mpka nafanikiwa kuliko danga nilokutana nae ukubwani smjui hanijui Alfu anakuja kwangu kutaka nusu ya mali yangu.
Mfano kwa Hakimi Yani mtu wameishi miaka miwili tu Alfu anaomba wagawane mali nusu nusu hata kma kutafuta miaka miwili tu nimeshangaa sanaa
 
Shauri zenu halafu wewe kazee unawatoto ndindi halafu unakuja danganya watu ona aibu basi unamke na watoto 2 nje unawawli Kwa wale mabinti halafu saivi eti kataa ndoa , acha uongo
KATAA NDOA.png
 
Back
Top Bottom