jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Inamaana miaka yote Mwanamke hajawai ona documents za Mali zao!!? Just anaibuka tu kudai bila evidence!!?Kwanza mdogo wetu alioa lishangazi. 24 kwa 36? Aah weee.. bora apaye size yake[emoji23][emoji23]
Nimefurahi zaidi hiyo kesi ya kustage ya raping imebuma. Sisi wanawake ni sweet evils i swear... sijui shogake saa hizi anaiweka wapi sura yake