Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Hakika huyu jamaa atajivunia thawabu za kutosha sio wenzetu wachache wanasomeshwa na wazazi wao kisha wakipata kazi wanafaidi wake zao huku wazazi wao wakifa na umasikini uliosababibishwa na kuuza mashamba na mifugo kwa ajili ya kumsomesha yeye. Dada mwenyewe ukimtizama vizuri macho yake utagundua ni mpiga tu.
 
...kwa kumuunga mkono huyu Brother wa dunia wa mwezi huu, kuna Bar inaitwa AKIMI ipo hapa jijini(usiulize jiji gani) itabidi nikafanye matumizi badae kijua kikiteremka.
Haahaaa mkuu nipo jirani hapa kwenye haya maduka ya nguo unishtue.
 
Mimi ni KE,alichofanya jamaa kanifurahisha Sana.
Sasa Kaka zetu wa Kibongo wajifunze TU,maana wengine wanaogopa hata kuachana na mke kiss Mali alizochuma,Hadi talaka anaogopa kutoa.
YAANI HUYU MWAMBA KANIFURAHISHA SAAAANA.Wale Wanawake wenzangu wanaotoa mimacho KWENYE Mali wajifunze.
 
Hakimi akiwa na mshikaji wake supermarket wakisubiri maza aje kuclear bill.
IMG_20230415_074925.jpg
 
Huyu demu na uhakika hata iyo kesi walio mpakazia mshkaji eti kambaka mtu nyumbani kwao alivokua Dubai wote huo ni mchongo Ili avute mkwanja mrefu jamaa ainekane kamsaliti lakini kajuta kumfahamu hachiraf [emoji23][emoji23]
😅😅😅🤣na huyu mbakwaji anakuwa mwenzao yaani chama moja.
Ila hapo kwa huyu mwamba wamepoteana kinyamaa
 
Sasa hivi ikitokea akaoa ndiyo atakuwa amepata mke mwema, mwenye mapenzi ya dhati!
 
Ndiyo dawa ya ma-gold diggers na slay and drama queens
Nasikia dada ni tajiri sana pia No 1 models Spain...amemzidi dogo 12yrs dada ana 36 dogo 24 alimkuta ndio anaanza mpira akiwa 19 yrs ameenda nae hadi sasa na wana watoto ....dada analipa cost run nyumba na watoto pia na gharama zake nadhani wamepishana baada tabia dogo kubadilika ana kashfa kubakia huyo dogo ....tuweze balance story.....
 
Fanya hivyo kama

1. Umezaliwa peke yako tu( Mama yako akifa inahesabika ni mali ya familia hivyo mgao unakua wa watoto wake wote,ikitokea umefariki kisha Mama yako yupo hai mkeo na watoto hawana vyao pale na mbaya nyumba ikiwa kwa jina la Mama yako ,mke na watoto wanaweza timuliwa hapo kama hawana maelewano mazuri na Mama mtu)

2. Mama yako sio mtu wa dini sana hasa muumini wa manabii na mitume. sadaka etc zitahusika kufilisi mali zako

3. Mama sio mtu wa vivoba na vikundi wala mpenda mikopo

4. Sio mtu wa sherehe kila kukicha,maisha ya mashindano.

5. Mama usipitwe(kila fashion yake)

6. Mtu wa mashosti,viben10

Antie hiyo mambo ya hakimi sijui kama inafanya kazi kwa nchi za kiafrica.
Unaandikisha mali zako zote kwa jina la mama,ndugu wanamuua warithi mali[emoji23] au mama anachukua mali anampelekea mchungaji ama atafute ben 10 amlee[emoji23][emoji23]
Wabongo waache kujifariji
 
Back
Top Bottom