umeona eh? yan hio picha ya pili imenipa ukakasi kidogo, hata ningekua mimi mwanangu wa kiume na busu la aina hio hapanaMie napatwa na wasi wasi kweli, maana sio kawaida, na venye mali zote kaandika mama ake ndo nazidi kupatwa na bumbuazi.
Hapana kwako!.nimeliangalia sjalielewa ingekua paji la uso ningeona its okay au kwenye shavu lakini hivo hapana
Kenge hilo jamaa. Na nina mashaka ni li bottom pia. Narudia ni kenge hilo.! K#m@ kabisa huyoWabongo mna ujuaji wa kifala kwahiyo ww unaijua sheria kuliko majaji wa mahakama ya Ufaransa?
Haya tuambie una shahada ngapi za sheria mpaka unakuja kuwakosoa majaji wa kifaransa.
Safi! Ana haki ya kuamua atakalo mradi havunji sheria tu. Acha ale maisha.Dicaprio hata mtoto hataki ni bata tu [emoji3]
Acha ufalla. Intention yako na reaction yako juu ya Hakimi umeshindwa kuificha. Ulitegemea kusikia Hakimi kafilisiwa ili ufurahi. Hakuna kenge yeyote wa kuchukua mali za Hakimi na mahakama ishaamua hivyo. Pambaneni na mahakama zenu za Bongo acheni u much knowHii ni sehemu huru ya majadiliano. Acha matusi. Sina shahada. Nina busara tu. Digrii sio busara. Kwa taarifa yako. Mahakama imebaini tu. Haijatoa uamuzi.
Ukute wanakulanaa hawa, afu mie sikujua km Hakim ana mke na watoto, hivi mkewe alikua anajisikiaje akiona mumewe na mama mkwe wana kiss tena hadharani, woiiiiiiiiiumeona eh? yan hio picha ya pili imenipa ukakasi kidogo, hata ningekua mimi mwanangu wa kiume na busu la aina hio hapana
Waziri Jaffo naye kaachana na mke wake??????Aione Dkt.Mwaka na Waziri Jaffo watakuwa na jambo la kujifunza.
haha mimi huko sina ushahidi kwa kweli kuna kama mapenzi fulani yamepitiliza baina yao ukute mkewe alikua hajali sababu tu s mama yake mzazi bwanaUkute wanakulanaa hawa, afu mie sikujua km Hakim ana mke na watoto, hivi mkewe alikua anajisikiaje akiona mumewe na mama mkwe wana kiss tena hadharani, woiiiiiiiii
Had aibuuu km sio uchurooo, hakim na mama ake wanakulana hawaa.
NapapuchipiyatunatapeliYaani Wanaume siku hizi mmekuwa matapeli wa mali dah😬😬😬
Huwezi kuwa kama Ronaldo au Messi then ukawa lofa lofa. Hakuna aliyewahi kuchukua Ballon D'Or then akawa bwege. Labda MayeleYuko cool anaigiza apate ndoa siku apate ndoa tu ndio rangi halisi utaziona na Ronaldo mjanja mjanja anamzalisha tu no ndoa
Hii ishu sijui kuhusu mama yake.
Mke wa Ashraf Hakimi amempeleka mahakamani ili kupata talaka na alitaka Mahakama iwagawanyishe mali.
Baada ya Talaka kufanikiwa na kukubaliana kugawana mali, ikagundulika kuwa Ashraf Hakimi hakuwa na mali yoyote na hata akaunti zake benki hazikuwa na pesa yoyote.
Inaelezwa kuwa mahakama imebaini Ashraf Hakimi alishaweka mali zake zote kwa jina la mama yake muda mrefu uliopita.
Case imeshaisha. Kule siyo huko Tanganyika kwenu, kule ni Ulaya. Unaelewa we' kolo? Ndo ishaisha hiyo.Kumbuka hela amepata sheria ya spain au paris ....sio za morroco.....Ile transfer fund wana trace bibi anaitwa court aseme anapata wapi cash flow atasema kutoka mwanae ambae anafanya kazi ulaya .....kesi bado mbichi
Shauri zenu halafu wewe kazee unawatoto ndindi halafu unakuja danganya watu ona aibu basi unamke na watoto 2 nje unawawli Kwa wale mabinti halafu saivi eti kataa ndoa , acha uongoBORA AIBU KULIKO UJINGA
Hichi kitu na chenyew ni Cha kufikiria mkuu, mbona Jambo Dogo tu unandika kwenye mali kua atakae zisimamia ni huyo Hakimi japo mmiliki na Ni mama yake Alf kuna ile kitu inaitwa will (wosia) maana yake before death mama atandika mrithi wa mali atakua ni Hakimi full stop kwaiy mali inarudi kwa Hakim Alf nikwambie hakuna ndugu kutoka nje ya fimilia yenu aje kudai mali ya ndugu yake hicho kitu hakipo na hata kama kipo ni Asilimia ndogo.Hahahahahha hapo inabid labda kwenye familia uwepo ww na mama yako na muwe mnakaa mbali mfano ndugu wapo zaire nyinyi mpo canada huku and no one knows
Shauri zenu halafu wewe kazee unawatoto ndindi halafu unakuja danganya watu ona aibu basi unamke na watoto 2 nje unawawli Kwa wale mabinti halafu saivi eti kataa ndoa , acha uongo
Mapenzi yamepitiliza kwa kweli, uwiiiiih.haha mimi huko sina ushahidi kwa kweli kuna kama mapenzi fulani yamepitiliza baina yao ukute mkewe alikua hajali sababu tu s mama yake mzazi bwana