Matteo Vargas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 803
- 1,329
Kwenye watoto hapo ndio demu atakomaaMzito Leonardo DiCaprio ni level za juu sana huwezi kumlinganisha na huyu dogo. Kwa upande wangu huyu Achraf ni mpuuzi sana unaingia vipi kimahusiano ya muda mrefu na mwanamke aliyekuzidi miaka 12? Kituko zaidi kamzalisha watoto wawili.
Manzi yupo full package ndio maana sina hata demu mwingine ukiachana na yeye kila idara yupo poa mzuri wa sura haitaji make up ndio awe mzuri macho yake,tabasamu lake inanivutia, ana tako kubwa, kifuani kajaaliwa. Ana upendo wa dhati huyu manzi ile mbaya hata nikiwa sina hela ananivumilia na wala aninunii muelewa,ataniomba hela pale tu akiwa na uhitaji Tena inaweza kutokea mara 2 au 3 kwa mwezi ni aina ya manzi ninajikuta na muhudumia hata bila kuniomba hela na moyo wangu unabaki unafuraha
Hii picha ya ashraf hakimi na mkewe inasema mengi Sana[emoji4]View attachment 2587487
Watalelewa na wewe coz una access ya pesa, tunaongelea wewe ukiwahi coz mke hana hiyo accesMbona ujawaza Mwanamke akidondoka watoto watalelewa na
Tunaongelea Me akidondoka kwasababu yeye ndo anajua pesa zake kaweka wapi.Watalelewa na bibi yao au mama yao kupiitia msaada wa bibi yao. Uliza pia vipi mama yao akidondoka watalelewa na nani?!
Wanawake wamaana wapo tu wamefichwa na wadangaji ndio wametawala ndio inawafanya wasionekane kwa jamiii ila ukibahatika kuwapata unakula maishaKongole kwako mkuuu 👏👏👏 usiliache zari hilo
Mkuu huyo manzi nimemfahamu hata before sijawa na mahusiano nae so namuelewa vizuri hapretend kabisa maisha hapo nimeongea tu machache tu kuhusu yeye mengi kanifanyia kuna kipindi kanisaidia nilikuwa nimepigika ile mbaya bila hata masimango, amekuwa pia na utaratibu wa kunitoa out na anamgharamia kila kitu ebu nikuulize wanawake wangapi wa sasa ambaye wanawatoa out wanaume zao? Mwanamke ukimthamini,ukimjali, ukimpenda na yeye akukupenda atajitoa Sana kwako na ndicho nilichotengeneza mimi kwake mambo mazuri niliyomfanyia imekuwa kama akiba kwenye moyo wakeUnaweza kuta ana akili yake ametega mingo kwenye mali zako au za wazazi wako bila wewe kujua!
Lakini kama huna mali yoyote mfano nyumba wala nini hata wazazi wako nako hakuna kitu basi hapo ulichosema kinaweza kuwa ni upendo pekee!
Na yeye litamkuta jamboKaoa mzungu sijui wa nchi gani aseeeeeeeeeeeeeeee