Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Anaishi na mme wake.Naombeni kujuzwa kama mama yake mzazi mwenyekiti wa wanaume duniani Ashraf Hakimi ni single? Nimempenda sana huyu mama.View attachment 2590516
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaishi na mme wake.Naombeni kujuzwa kama mama yake mzazi mwenyekiti wa wanaume duniani Ashraf Hakimi ni single? Nimempenda sana huyu mama.View attachment 2590516
Shakira ana pesa zaidi ya Pique ila Shakira mahusiano yake ya mwanzo na yule kijana I think ni alikuwa meneja wake, mwanasheria wake, sijui ni walioana pia sikumbuki vizuri na ni mtoto wa kiongozi mkubwa possible ni Mexico au Colombia alimsumbua sana wakati wanatengana jamaa ali demand mzigo mrefu akidai kutumika ulimtoa usingizini kuhusu mahusiano na mgawanyo wa mali ndio maana kwa Pique alikuwa makini sana alishakuwa na experienceKwangu Hakimi ni shujaa, ndio mke wake ana watoto wawili ila ukiangalia vizuri mwanamke alitaka Mali na inawezekana ana mwanaume pembeni,mbona Shakira hakudai Mali alizochuma na Pique?
Hakimi katumia akili kubwa mno.
Hao watoto, Hakimi atawalea tu hamna shida.
HII HABARI IMENIFURAHISHA SANA. Aishi milele Shujaa Hakimi
Na mimi nimeanza kuelewa hii.NDOA NI KAMARI
NDOA NI HUJUMA
NDOA NI UBADHIRIFU WA MALI ZA MWANAUME
NDOA NI MTEGO EPUKA USINASWE
NDOA NI UNYONYAJI
NDOA NI UDUNISHAJI HAKI ZA MWANAUME
NDOA NI UTUMWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jiko la gesi na subwoofer
Tulia ikuingie kisawasawa wewe Shangazi
Labda miswaki mxyuuuuu
Wakati wa kuachana ni vita ya kukomoana...
Mnaweza kwenda mahakamani kugawana mikeka na vibao vya mbuzi
Ninyi ndio walewale na sasa hamtupati ng’o hii imekula kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka mtoe milio yote dadek wadangaji wakubwa nyie hamtoki hata na sahani mamaeeeee
Wivu utakuua ww [emoji1787]
Hizo hizo hata kama ni baiskeli ya phoenix,Sasa hivi tunasajili kwa majina ya mama zetu.
TV yangu ya aboder naenda kuisajili sasa,sitaki ujinga na makima [emoji3][emoji1787][emoji1787]
Hiyo 20% ya matumizi una date na pisi yoyote ambayo ni lowkey.Naona jamaaa kajitafutia kukaa single mpaka afe hakuna dem atamkubali tena washa sanda jamaa bahili mno[emoji38][emoji38]
Vipi akidondoka au mkidondoka wote wanao watalelewa na nani?Vipi ukidondoka wanao watalelewa na nani??
SawaMuwaoe sasa wawazalie ukoo na mali visiende mbali
Akidondoka yeye utawalea wewe, vyanzo si unavyo mzee, ishu ni ukianza wewe na hajua A wala B unakoficha thumni zako.Vipi akidondoka au mkidondoka wote wanao watalelewa na nani?
Had mkewe na mahakaman alikuwa hajui angekuwa anajua asinge jisumbua.Nadhani ubahiri wake pia umevunja ndoa,haiwezekani mali zote ziwekwe kwa jina la mamaake.