Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Kwangu Hakimi ni shujaa, ndio mke wake ana watoto wawili ila ukiangalia vizuri mwanamke alitaka Mali na inawezekana ana mwanaume pembeni,mbona Shakira hakudai Mali alizochuma na Pique?
Hakimi katumia akili kubwa mno.
Hao watoto, Hakimi atawalea tu hamna shida.
Shakira ana pesa zaidi ya Pique ila Shakira mahusiano yake ya mwanzo na yule kijana I think ni alikuwa meneja wake, mwanasheria wake, sijui ni walioana pia sikumbuki vizuri na ni mtoto wa kiongozi mkubwa possible ni Mexico au Colombia alimsumbua sana wakati wanatengana jamaa ali demand mzigo mrefu akidai kutumika ulimtoa usingizini kuhusu mahusiano na mgawanyo wa mali ndio maana kwa Pique alikuwa makini sana alishakuwa na experience
 
HII HABARI IMENIFURAHISHA SANA. Aishi milele Shujaa Hakimi

Hii nadhani ni akili ya mama yake!! Mama yule ni jasiri sana; mwanamke wa kiislam kwenda mpaka mpirani kumshangilia mwanae sio jambo rahisi!!
 
Huyo mwanamke alipewa za uso Kweli Kweli [emoji23] Duh!!

Hakimi naye kaupiga mwingi Sana!!
 
NDOA NI KAMARI

NDOA NI HUJUMA

NDOA NI UBADHIRIFU WA MALI ZA MWANAUME

NDOA NI MTEGO EPUKA USINASWE

NDOA NI UNYONYAJI

NDOA NI UDUNISHAJI HAKI ZA MWANAUME

NDOA NI UTUMWA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi nimeanza kuelewa hii.
 
Tulia ikuingie kisawasawa wewe Shangazi

Baba yako hajakutambulisha shangazi zako?!! Mxiuuuu!! Mali yenyewe unayomiliki iyo tecno wereva inatuma msg yenyewe na kupiga na system charge mbovu [emoji1787]
 
Ninyi ndio walewale na sasa hamtupati ng’o hii imekula kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee kwenda una mali gani?!! Nyumba zenyewe za kupanga kila mara kugombana na wenye nyumba mna maajabu gani?!
Wanawake ndio wanawalea
 
Hizo hizo hata kama ni baiskeli ya phoenix,Sasa hivi tunasajili kwa majina ya mama zetu.
TV yangu ya aboder naenda kuisajili sasa,sitaki ujinga na makima [emoji3][emoji1787][emoji1787]

Muwaoe sasa wawazalie ukoo na mali visiende mbali
 
Vipi akidondoka au mkidondoka wote wanao watalelewa na nani?
Akidondoka yeye utawalea wewe, vyanzo si unavyo mzee, ishu ni ukianza wewe na hajua A wala B unakoficha thumni zako.

Usimtegemee nduguyo ambae nae ana wake wa kulea, utawapa shida wanao.

Ikitokea wote mkakata kamba hiyo ni scenario nyingine na inategemea na umri wa wanao.
 
Mwanafunzi wa Hakimi afanya yake Morogoro😀😀
IMG-20230421-WA0005.jpg
 
Nadhani ubahiri wake pia umevunja ndoa,haiwezekani mali zote ziwekwe kwa jina la mamaake.
Had mkewe na mahakaman alikuwa hajui angekuwa anajua asinge jisumbua.
 
Hii kwa wale wote waoa Kilimanjaro inabidi wafanye ama waige hii mbinu.
Mana wenzetu huko Kama upo njema ndipo anakukubali uolewe naye
 
Back
Top Bottom