Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Wanaume tungekua Kama ashraf hakimi,
Maisha yangekua Safi Sana[emoji4]
Shida ya bongo ndugu Wana roho mbaya Hawa tulozaliwa nao brother
Naweza fanya hvyo Mwisho bimkubwa akidanja wakijua watauza zotee au watataka tugawane tena pasu Kwa pasu
 
Ameshatangaza NDOA tayari, ni suala la muda tu.

Me nadhani siyo wote wenye tabia hizo chafu, nafuatilia Beckham na mkewe somebody Adam naona uzee unawanyatia, kama wana mazengwe basi yanaishia ndani huko.
Vicky anampenda David mnooo Yaani bidada ndo moyo wake ulipo
Kashawahi pata kashfa ya cheating ila walaa hakuyumba...same to Wayne Rooney na Hawa wameoa na kuolewa na waingereza wenzao
 
Kutangaza na kufunga ni vitu viwili tofauti,Hawezi kufunga ndoa labda mama yake awe amekufa. Ronaldo anamsikiliza mama yake kuliko mtu yeyote hapa duniani.Mama yake alishakataa CR7 kufunga ndoa na Georgina.
Hahahahahah na hii ndio dawa yenu kama unanipenda tuishi tu ila kufunga ndoa hapana 🤣🤣🤣 hamkawilii kubadilikaga nyie
 
Ukiwa na hela kupata mke mwema ni shughuli,mwana alicheza kama pele.

Mastaa wengi waliofanikiwa kwenye ndoa zao mfano Lebron James, Snoop dog,Messi nk wake zao walitoka nao mbali tokea wakiwa wadogo hawana kitu,lkn hawa wa kuwapata baada ya kupata kibunda 99% ni wadangaji wanakuigizia ili wazipige hela zako.
Mwanamke akikukubali na huna kitu unajua umepata mke kweli ila hawa wa mpenzi lazma anihudumie ni wezi by 100% ipo siku tutaelewana tu.
 
Naombeni kujuzwa kama mama yake mzazi mwenyekiti wa wanaume duniani Ashraf Hakimi ni single? Nimempenda sana huyu mama.
Screenshot_20230417-024459.jpg
 
Mtego uliomnasa Dani Alves, Hakimi kautegua kitambo sana, possibly hata ile kesi ya ubakaji inayomkabili Hakimi mchora ramani ni mkewe ili apate scapegoat ya kuombea talaka wagawane kilichopo...[emoji23] kaandikisha umiliki wa Mama halafu next of kin ni yeye mwenyewe as long as Mama yu'ngali hai hakuna tatizo.
"Akili ni mali sana".
Na mama kamuandika mirathi mwanae

Akili ni mali
 
Back
Top Bottom