Sio yule Emmanuel Eboue aliekuwa akipata mshahara wote anatuma kwa mkewe ndo aweke uwekezaji.Mwisho wa siku Emmanuel akapigwa talaka na kuambulia zero.
Ashraf kweli Mungu alimuongoza, hawa warembo wengi wanakimbilia wacheza mpira sababu ya pesa.
Ndiyo maana C.Ronaldo hataki kufunga ndoa na Georgina.