Wanawake kazi kweli Bora uzalishe usepe
 
Hatuombei lakini kwa mfano Mazee ndo anatangulia, HAKIMI ataweza kuwaeleza nduguze kuwa mali za mama zisigawiwe?

Kuwa ni zake na wala si za mama?
 
Hatuombei lakini kwa mfano Mazee ndo anatangulia, HAKIMI ataweza kuwaeleza nduguze kuwa mali za0 mama zisigawiwe?

LppĺKuwa ni zake na wala si za mama?

Mkuu kama kuna pesa inahusika lazima utata uondolewe mapema.
Mimi nimemjengea bi mkubwa wangu, tena hata sikukumbuka hilo swala unalosema. Lakini bi mkubwa mwenyewe kaandika kabisa, akindoka Duniani kila nilicholipia pesa zangu ni cha kwangu. Hakuna utata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…