Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Mtego uliomnasa Dani Alves, Hakimi kautegua kitambo sana, possibly hata ile kesi ya ubakaji inayomkabili Hakimi mchora ramani ni mkewe ili apate scapegoat ya kuombea talaka wagawane kilichopo...[emoji23] kaandikisha umiliki wa Mama halafu next of kin ni yeye mwenyewe as long as Mama yu'ngali hai hakuna tatizo.
"Akili ni mali sana".
 
Ameshatangaza NDOA tayari, ni suala la muda tu.

Me nadhani siyo wote wenye tabia hizo chafu, nafuatilia Beckham na mkewe somebody Adam naona uzee unawanyatia, kama wana mazengwe basi yanaishia ndani huko.
Kutangaza na kufunga ni vitu viwili tofauti,Hawezi kufunga ndoa labda mama yake awe amekufa. Ronaldo anamsikiliza mama yake kuliko mtu yeyote hapa duniani.Mama yake alishakataa CR7 kufunga ndoa na Georgina.
 
Mke wa Ashraf Hakimi ameiambia mahakama kua anahitaji talaka huku akiiomba mahakama kummpa fungo la Mali Yaani wagawe mali sawa sawa

Ashraf Hakimi alikubali kutoa talaka lakini mahakama ilipochunguza vizuri kwenye mali za Hakimi walikuta bwana mdogo Hamiliki kitu hata kimoja hata benki yake Hamna Hata shiling Mia [emoji848]

Ilikuja kugundulika kua Ashraf Hakimi alijua Kama hayo yatatokea Ndio akaamua Mali zake zote Yaaani pesa majumba Na gari viandikwe Kwa jina la Mama yake ili isemekane kua Mama yake Ndio mmiliki halali wa mali zake [emoji16][emoji16]

Tumejifunza nini hapo.
1681467898336.jpg
View attachment 2587532View attachment 2587533

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Mke wa Ashraf Hakimi ameiambia mahakama kua anahitaji talaka huku akiiomba mahakama kummpa fungo la Mali Yaani wagawe mali sawa sawa

Ashraf Hakimi alikubali kutoa talaka lakini mahakama ilipochunguza vizuri kwenye mali za Hakimi walikuta bwana mdogo Hamiliki kitu hata kimoja hata benki yake Hamna Hata shiling Mia [emoji848]

Ilikuja kugundulika kua Ashraf Hakimi alijua Kama hayo yatatokea Ndio akaamua Mali zake zote Yaaani pesa majumba Na gari viandikwe Kwa jina la Mama yake ili isemekane kua Mama yake Ndio mmiliki halali wa mali zake [emoji16][emoji16]

Tumejifunza nini hapo.View attachment 2587534View attachment 2587532View attachment 2587533

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Huyo anayeliwa mate ndiyo nani?.
 
Kwanza alikua anambaka mtoto wa watu yaan yeye akiwa na Miaka 31 akaanza kumdate Ashraf akiwa ana miaka 19, hapo najua master Mind ni Mama ake Ashraf, Mama anakwambia mwanae hamiliki hata nguo [emoji1787]

Gold digger amepatikana maskini, akasema awekeze for 5 years ili apate mali za kutumbua na teenagers wengine, kaambulia galasa [emoji119]
 
Ukiwa na hela kupata mke mwema ni shughuli,mwana alicheza kama pele.

Mastaa wengi waliofanikiwa kwenye ndoa zao mfano Lebron James, Snoop dog,Messi nk wake zao walitoka nao mbali tokea wakiwa wadogo hawana kitu,lkn hawa wa kuwapata baada ya kupata kibunda 99% ni wadangaji wanakuigizia ili wazipige hela zako.
 
Back
Top Bottom