Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
hamna lolote. jamaa atakuwa alianza kusoma mchezo mapema akaona bora afanye akili mapema. kwani kumzalia watoto ndio kitu gani? bila de liboloz huyo mwanamke angeweza kuzaa? wanawake tulizeni mbusus hizo muolewe kwa sababu mnataka kugegedwa na sii kupata mali.
Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Mali😬
 
Kwa mara ya kwanza tangu nimejiunga JF, leo ndio nmeona comments zinazokubalika.

Ule usemi wa 'ukiona watanzania wengi wanakuunga mkono, ujue hicho kitu ni kibaya' huo usemi kwa hapa umevunjwa rasmi.

Wanaume tunatakiwa kuweka hiyo pics kwenye wasap status zetu au ikiwezekana tuwatumie wanawake wote hata kama sio mpenzi wako.
 
Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Mali😬
wewe huyo atauwa alishaona kuwa huyu mwananmke anataka kusepa na mali.

mwanaume akikuona umekaa kimaslahi lazima ajiongeze.

sasa kulea mtoto nyie wenyewe sii mnatakaga watoto. mbona kidume mzabzab akisema njoo nikuoe alafu tutulie tuu tuwe tonagegedana bila watoto mnakataa. yeye ashukuru kapata watoto jamaa atawahudumia jumlisha na yeye.

mama anakula kuku kwa mlija tuu sasa
 
wewe huyo atauwa alishaona kuwa huyu mwananmke anataka kusepa na mali.
mwanaume akikuona umekaa kimaslahi lazima ajiongeze.
sasa kulea mtoto nyie wenyewe sii mnatakaga watoto. mbona kidume mzabzab akisema njoo nikuoe alafu tutulie tuu tuwe tonagegedana bila watoto mnakataa. yeye ashukuru kapata watoto jamaa atawahudumia jumlisha na yeye.
mama anakula kuku kwa mlija tuu sasa
Kesi bado haijaisha lakini bibie anaweza kupindua meza hii ajabu Mali kuandikishwa Mama mzaa chema ngoja nianze na mimi kuchunguza hizi karatasi kaandika kwa jina langu au😬😁😁😁
 
Yaani Wanaume siku hizi mmekuwa matapeli wa mali dah😬😬😬
Mimi ndo kauzu mwenyewe nafanya Kila kitu Kwa Siri bila Mwanamke kufahamu, nasema vichache sana huku nikicheza karata zangu, bad boys ni wanaume ambao wanatumia akili kuliko hisia.
Emanuel Eboue ni maskini kwa Sasa baada kuandika majina ya mke wake kwenye Mali zake, mwanamke akataka divorce akapata, sasahivi ana matatizo ya akili, wana -Arsenal wanamkumbuka jamaa.
 
Back
Top Bottom