Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Vijana mnao oa katika zama hizi za .com kuweni makini sana, waolewaji wamegeuza ndoa kuwa miradi ya kupigia pesa na kuchuma mali.
walipopewa haki ya kumiliki mali ndipo mambo yote yalipoanzia kuharibika.Eti amiliki mali ya baba yake, na kwa kila mme atakakokwenda basi apate mgao wa mali. Kwa hiyo akizunguka wanaume 10 na akapata mgao wa mali toka wanaume 10, si tayari ni tajiri. Akimaliza mzunguko anarudi kwa baba nako anapata mgao na kutulia.
Hizo haki zisizo na kikomo ni shida
 
Marriage is a Scam.
FB_IMG_1681459207883.jpg
 
Mchumba haamini macho yake,

Mgao wake ulipaswa kua Euro mil. 70

Kitu Kama Dolla mil 100,
Sawa na almost billion 230 za kibongo

Kwa haraka haraka ,
Binti kuchanua mapaja miaka 5 tayar keshakua bilionea

Wakati kuna watu wanasoma udaktari miaka 5, ongezea wa 6 intern, bado miaka 2 ya adavance, miaka 4 olevel, miaka 7 primary na bado kwa mwezi wanalipwa mil 1.4[emoji4]
Basi basi usimalizie kusoma ...[emoji848]
 
sasa mbona wanisakama mie tuu. sema uzi umewafurahisha wakataa ndoa wote. leo tena wikend lazima tukaparty kwa niaba ya bwana ashraf.
ametoa fundisho moja zuri sana.
ila huyo mwanamke naye boya unatombwaje alafu hujui mali za mumeo zipo kwenye jina gani ....huyu nae bogus tuu kwanza ashraf alikosea ata kuoa mwanamke hana akili kabisa anajua kupanua mapaja tuu.
Yaani Mwanamke kiazi mbatata kweli ilibidi ajue mkakati wa Mumewe kabla 🤷🏼‍♀️
 
Back
Top Bottom