Imeisha mbona, Mahakama imeshatoa taarifa aKesi bado haijaisha lakini bibie anaweza kupindua meza hii ajabu Mali kuandikishwa Mama mzaa chema ngoja nianze na mimi kuchunguza hizi karatasi kaandika kwa jina langu au😬😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha mbona, Mahakama imeshatoa taarifa aKesi bado haijaisha lakini bibie anaweza kupindua meza hii ajabu Mali kuandikishwa Mama mzaa chema ngoja nianze na mimi kuchunguza hizi karatasi kaandika kwa jina langu au😬😁😁😁
yule nae katika vichaa yeye namba moja. bwege kweli mwanaume unachanganyikiwa na mbusus mpaka unajiroga mwenyewe. shenz type kabisa.Mimi ndo kauzu mwenyewe nafanya Kila kitu Kwa Siri bila Mwanamke kufahamu, nasema vichache sana huku nikicheza karata zangu, bad boys ni wanaume ambao wanatumia akili kuliko hisia.
Emanuel Eboue ni maskini kwa Sasa baada kuandika majina ya mke wake kwenye Mali zake, mwanamke akataka divorce akapata, sasahivi ana matatizo ya akili, wana -Arsenal wanamkumbuka jamaa.
Dah bibie atumie hata njia za asili kurudisha Mali 😁😁😁😁Imeisha mbona, Mahakama imeshatoa taarifa a
Rufaa ipi wakati jina la Hakimi hakipo?Nashauri akate rufaa 😁😁😁
😂😂 Ila wamama wa kibongo sio wa kuwaamini ht kdg, anaweza ht kukopa kupitia mali zako mwisho wa siku ukabaki na madeniIla usiwape wamama wa kibongo hawachelewi pelekwa kwa Mwamposa
Yaani huu uzi umekufurahisha we mtu na vile unachuki mbaya kwa Wanawake 😬😬😬yule nae katika vichaa yeye namba moja. bwege kweli mwanaume unachanganyikiwa na mbusus mpaka unajiroga mwenyewe. shenz type kabisa.
hawa warembo ni chobo cha starehe tuu lakini sio kuwaamini kabisa.
mwanamka ata akikwambia leio ni ijumaaa, aisee chukuwa calender uhakikishe kweli ni ijumaa
Imetoka hiyo....Dah bibie atumie hata njia za asili kurudisha Mali 😁😁😁😁
Wataachana tu😃Ameshatangaza NDOA tayari, ni suala la muda tu.
Me nadhani siyo wote wenye tabia hizo chafu, nafuatilia Beckham na mkewe somebody Adam naona uzee unawanyatia, kama wana mazengwe basi yanaishia ndani huko.
Lazima liwepo atake asitake ina maana anacheza mpira bure😬😁😁😁Rufaa ipi wakati jina la Hakimi hakipo?
Nilijua tuu nitakutana na hii hesabu 😂Mchumba haamini macho yake,
Mgao wake ulipaswa kua Euro mil. 70
Kitu Kama Dolla mil 100,
Sawa na almost billion 230 za kibongo
Kwa haraka haraka ,
Binti kuchanua mapaja miaka 5 tayar keshakua bilionea
Wakati kuna watu wanasoma udaktari miaka 5, ongezea wa 6 intern, bado miaka 2 ya adavance, miaka 4 olevel, miaka 7 primary na bado kwa mwezi wanalipwa mil 1.4[emoji4]
Angalau kula na ndugu zako ambao pengine hata aanajua mahangaiko yako utotoni na sio kuliaa na huyo nyamela. Maana ndugu wenyewe watakua wale wa tumbo mojaSema ahakikishe mama ameandika urithi, la sivyo ndugu wanaweza kumgeuka wakataka mgao wa mali za mama yao uwe sawa sawa.
Asilimia 80% ya mshahara wake unaenda kwenye akaunti ya mama yakeLazima liwepo atake asitake ina maana anacheza mpira bure😬😁😁😁
Mama kipenzi🤣Huyo anayeliwa mate ndiyo nani?.
sasa mbona wanisakama mie tuu. sema uzi umewafurahisha wakataa ndoa wote. leo tena wikend lazima tukaparty kwa niaba ya bwana ashraf.Yaani huu uzi umekufurahisha we mtu na vile unachuki mbaya kwa Wanawake 😬😬😬
Dah huyo bibie nae aliishi nae vipi bila kuwa nae na mkakati wa Siri😬😬😬Asilimia 80% ya mshahara wake unaenda kwenye akaunti ya mama yake
Bora ndugu aiseeSema ahakikishe mama ameandika urithi, la sivyo ndugu wanaweza kumgeuka wakataka mgao wa mali za mama yao uwe sawa sawa.
mwamba alijipanga. mama ndio anapanga sasa matumizi ya hela. hii nimeikubali. kuanzia kesho na mie naenda mwambia boss wangu badilisha hel zinatumwa kwenye akaunt ya bi mkubwa. yeye sasa ndio anipangie matumizi. naona itasaidia ata kutokuwa na micheps. mwamba katupa somo kubw asanaAsilimia 80% ya mshahara wake unaenda kwenye akaunti ya mama yake