Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Mimi ndo kauzu mwenyewe nafanya Kila kitu Kwa Siri bila Mwanamke kufahamu, nasema vichache sana huku nikicheza karata zangu, bad boys ni wanaume ambao wanatumia akili kuliko hisia.
Emanuel Eboue ni maskini kwa Sasa baada kuandika majina ya mke wake kwenye Mali zake, mwanamke akataka divorce akapata, sasahivi ana matatizo ya akili, wana -Arsenal wanamkumbuka jamaa.
yule nae katika vichaa yeye namba moja. bwege kweli mwanaume unachanganyikiwa na mbusus mpaka unajiroga mwenyewe. shenz type kabisa.
hawa warembo ni chobo cha starehe tuu lakini sio kuwaamini kabisa.
mwanamka ata akikwambia leio ni ijumaaa, aisee chukuwa calender uhakikishe kweli ni ijumaa
 
yule nae katika vichaa yeye namba moja. bwege kweli mwanaume unachanganyikiwa na mbusus mpaka unajiroga mwenyewe. shenz type kabisa.
hawa warembo ni chobo cha starehe tuu lakini sio kuwaamini kabisa.
mwanamka ata akikwambia leio ni ijumaaa, aisee chukuwa calender uhakikishe kweli ni ijumaa
Yaani huu uzi umekufurahisha we mtu na vile unachuki mbaya kwa Wanawake 😬😬😬
 
Mchumba haamini macho yake,

Mgao wake ulipaswa kua Euro mil. 70

Kitu Kama Dolla mil 100,
Sawa na almost billion 230 za kibongo

Kwa haraka haraka ,
Binti kuchanua mapaja miaka 5 tayar keshakua bilionea

Wakati kuna watu wanasoma udaktari miaka 5, ongezea wa 6 intern, bado miaka 2 ya adavance, miaka 4 olevel, miaka 7 primary na bado kwa mwezi wanalipwa mil 1.4[emoji4]
Nilijua tuu nitakutana na hii hesabu 😂
 
Yaani huu uzi umekufurahisha we mtu na vile unachuki mbaya kwa Wanawake 😬😬😬
sasa mbona wanisakama mie tuu. sema uzi umewafurahisha wakataa ndoa wote. leo tena wikend lazima tukaparty kwa niaba ya bwana ashraf.
ametoa fundisho moja zuri sana.
ila huyo mwanamke naye boya unatombwaje alafu hujui mali za mumeo zipo kwenye jina gani ....huyu nae bogus tuu kwanza ashraf alikosea ata kuoa mwanamke hana akili kabisa anajua kupanua mapaja tuu.
 
Asilimia 80% ya mshahara wake unaenda kwenye akaunti ya mama yake
mwamba alijipanga. mama ndio anapanga sasa matumizi ya hela. hii nimeikubali. kuanzia kesho na mie naenda mwambia boss wangu badilisha hel zinatumwa kwenye akaunt ya bi mkubwa. yeye sasa ndio anipangie matumizi. naona itasaidia ata kutokuwa na micheps. mwamba katupa somo kubw asana
 
Back
Top Bottom