Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝Kataaa ndoa ipo pale pale. Hawa mbwa ni kuwagegeda tuu na kuwatupa kule🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝Kataaa ndoa ipo pale pale. Hawa mbwa ni kuwagegeda tuu na kuwatupa kule🤣🤣🤣🤣
Eh bc na Ronaldo nae amekaa kiutaalam dhidi ya GeorginaSio yule Emmanuel Eboue aliekuwa akipata mshahara wote anatuma kwa mkewe ndo aweke uwekezaji.Mwisho wa siku Emmanuel akapigwa talaka na kuambulia zero.Ashraf kweli Mungu alimuongoza,hawa warembo wengi wanakimbilia wacheza mpira sababu ya pesa. Ndo maana C.Ronaldo hataki kufunga ndoa na Georgina.
Anastahili...Huyu anapewa umwenyekiti wakudumu kabisa
Alieuza cheni bandia kapewa hela bandia😂😂😂😂Tapeli kakutana na mbahili
Waolewaji kwao ndoa imekuwa ajiraVijana mnao oa katika zama hizi za .com kuweni makini sana, waolewaji wamegeuza ndoa kuwa miradi ya kupigia pesa na kuchuma mali.
Machale yalishamcheza eti tugawane mali.Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake😬😬
Hana pesa [emoji1787]Jimbo liko waz hili kamtemee madin huyo manzi awe demu wako
Siyo ubinafsi hawa wanawake wa ulaya wameshafanya ni mchezo kuwadhulumu ngozi nyeusi mali zao kirahisi ss imefika zamu yao na hh ndiyo dawaJamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake[emoji51][emoji51]
Roho ya ubinfsi tu aliyokuwa nayo huyo mhuni 😬😬😬Machale yalishamcheza eti tugawane mali.
Sasa kwakuwa jamaa hana maki itabidi wagawane za mwanamama kama anazo
Kwangu Hakimi ni shujaa, ndio mke wake ana watoto wawili ila ukiangalia vizuri mwanamke alitaka Mali na inawezekana ana mwanaume pembeni,mbona Shakira hakudai Mali alizochuma na Pique?Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake😬😬
Oya funga mdomoRoho ya ubinfsi tu aliyokuwa nayo huyo mhuni [emoji51][emoji51][emoji51]
Hawa watu wa chake chake chako chenu. Wakati jayD anaachana na gadna watu walikuwa wanamwandamaba gadna asije dai mali ya mwanamkeKwangu Hakimi ni shujaa, ndio mke wake ana watoto wawili ila ukiangalia vizuri mwanamke alitaka Mali na inawezekana ana mwanaume pembeni,mbona Shakira hakudai Mali alizochuma na Pique?
Hakimi katumia akili kubwa mno.
hamna lolote. jamaa atakuwa alianza kusoma mchezo mapema akaona bora afanye akili mapema. kwani kumzalia watoto ndio kitu gani? bila de liboloz huyo mwanamke angeweza kuzaa? wanawake tulizeni mbusus hizo muolewe kwa sababu mnataka kugegedwa na sii kupata mali.Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake😬😬