Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Hapo mfano Mama akipata akifariki mgawanyo wa Mali unakuwa vipi hapo au akiolewa na Mume mwingine akamuandikisha Malio wake😬Ana roho nzuri kwa sababu hajawanyima wanae mali bali amezitunza ziwafae baadaye.
Mke anadai talaka ili wagawsne mali. Hana habari na hisia za wanae