proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
🙄 Duh! Nimekosa hata cha kukujibu mana umeandika maneno meengi ila si kesi kwa kuwa niliemquote kanielewa basi naomba tuishie hapa.Mwanamke akichoka mwanaume huwa anakawaida ya kwenda kutafuta nje, hiyo hamtaki na mnataka hadi katiba ikataze. Mwanaume akiwa hana pesa za kukupa mahitaji mnaona ni halali kutembezewa mkuyati hadi na boda boda ili mpewe 5,000 za kupeleka marejesho ya vicoba sijui. Hii tafasiri yake ni kuwa ninyi shida zenu mnazipa umuhimu sana kuliko shida za wanaume zenu ila mnataka wao wazipe shida zenu kipaumbele. Wanawake sometimes mnazingua sana tena sana aiseee.
Yale yale 😂😂😂😂😂Ukitupato wewe kwa wenzie dhahabu, ukikizoea kitu kinakuwa cha kawaida hadi madudu ya ajabu utayajua mf. Kujamba jamba hovyo...akili ovyo. Ukiona cha oza jirani twala wenzie Poor Brain dronedrake
Wanachukuliaga poa matokeo yake unapelekea moto mcheps ukirudi home kimyaaaa, sasa siku yeye (mke) ana nyegge utaona anavonuna ukimwambia nimechoka 😃Katika kosa ambalo mwanamke anaweza kufanya ni kulet mazoea eneo la unyumba. Mwanaume akiwa na stimu demu akaleta us*ng* hapo ndipo mwanaume ana haki zote za kupita hivi na kuanza kupelekeana moto na kazi mpya.
Kumbe hujawajua wanamke?Namuona tu anavyojishaua, mjini hapa wazuri wengi, yani mtu amesoma hapa hapa mjini af ye bado anajiona keki. Wapo wazuri wanauza bar na wapo wazuri wanajiuza.
Ipo siku nitampatia huu ujumbe live ajue kua na aache kuniletea maringo
Nakazia hapaPole sana, huyo ni wewe mwenyewe unampa kichwa, punguza attention kwake akili itamkaa sawa tu!
Mpk kufikia hapo, tayari ashapata wa kumsifia wakati anampuliza, hiyo ndoa Haina maishaMi ndo namjua ni wakawaida
Kwanini mimi 😂😂binti kiziwi njoo usome comments
Eiiish!kuna wakati tunaandika kutoa dukuduku la moyoni, kama wataka uzi mrefu kanunue dukani
Eeh mr maleven, mmalizane humu humu, mchane mchanewe mwenyewe wa kawaida sana yani kila sekta😌
weeeee acha kuchochea ghasia bwanaaaaEeh mr maleven, mmalizane humu humu, mchane mchane
Nimefurahi sana, jamaa anaonekana anaishi na ghasia za kila namna, anaweza kuja akarula na wewe as if ndo mhusikaweeeee acha kuchochea ghasia bwanaaaa