Kiroboto10
Member
- Nov 30, 2023
- 72
- 322
- Thread starter
-
- #141
Nimeongea nae mara nyingi kirafiki na kwa upendo, hajawahi sema kuwa shida ni usafi wangu, ingekua ni hivyo, angesema na mimi ningejitahidi kubadilika, maana hilo linaweza badilika.Pole,majibu hapo ni mawili, moja mkeo analiwa na walimwengu, mbili, unanuka mapumbu so anaona kinyaa, pole sana ndugu katika msoto wa mbunye
Kwa hiyo nimeingia cha kike mkuu?Utashauriwa mengi ila kabila ulilo oa halitawaliki.
Hawa wanatakiwa wao ane wenyewe Kwa wenyewe.
Hata mama mkwe wako atakuwa anafanana na mke wako, na Kuna uwezekano mkubwa baba mkwe wako alipata mateso kuliko unayo yapata!
Atakua mwehu kweli kweli.Una uhakika gani?
Huwajui wanawake wewe.
Uliolewa na mwanaume usiempenda?Huyo km mimi..!! Sipendi kumbwato nikiona Mr anakuja nitalia kilio cha tumbo kuuma…!
Hisia zimekata naona kero kuguswaUliolewa na mwanaume usiempenda?
Kwa nini hisia zimekata? Alizingua?Hisia zimekata naona kero kuguswa
Nina ghorofa najengaKwa nini hisia zimekata? Alizingua?
Hapa ni kufurahishana tu.Huu uzi kama wa nne wwanaume wanalalamika hawapewi mbunye. Kitu gani kinaendelea mbona hamniambii wakuu? Isije ikafika kwangu pia [emoji23][emoji1]
Kuongeza mke dini hairuhusu, mchepuko dini inaruhusu sio??Dini hairuhusu. Sanasana nitatafuta kamchepuko kanakojielewa kawe kanamsaidia.
Pole mkuu! Ni mke au mpenzi tu?mimi ndo napitia wakati kama wako ila nimekuja kugundua kuna mtu anampa furaha so hisia na mimi hazipo tena ila wa kwangu ni tamaa ya pesa coz sidhani kama kwangu kuna kitu alikosa ila amempata mtu mwenye uwezo zaidi yangu nimeamua kuachana nae japo na mpenda ila sina jinsi,najua nitapata mtu sahihi coz mapenzi usilazimishe utaishia kuumia na kushindwa kufanya mambo ya muhimu.japo naumia ila yataisha tu
Vicoba vikiwemo?Wanaume na ngono🙆🙆🙆
Tuna mambo mengi ya kufikiria na kufanya. Mtuelewe tu.
Ndiooo.Vicoba vikiwemo?
Nimeshaongea nae sana, hamna chochote hapo, hana hasira zozote wala hakuna ugomvi wowote kati yetu, zaidi ya ugomvi wa kuhusu hilo la yeye kuwa amechoka kila siku.
ni mpenzi mkuuPole mkuu! Ni mke au mpenzi tu?