Mke wangu hanisalimii, anasema salamu ni wajibu wa mwanaume kwa mke au familia yake

Siyo kweli hujawajua wanawake mkuu, anaweza akakuchoka kwa sababu zake binafsi au shinikizo la marafiki zake
Wanawake ni very complex creatures, cha msingi ni kuwa na demu wa pembeni akuliwaze ama sivyo anaweza kukupiga tukio ukajiua
 
Mwanamke anayekupenda anakupigia simu mara nyingi with no reason kama chiriku full stop.

Huyo mkeo mtafutie mwenzie huko unakokaa kupunguza msongo wa mawazo. Ili upunguze masononeko. Sometimes haya majamaa/ ke ni kuya-treat rough tu
 
Dawa atafute demu wa kumliwaza otherwise atakosa motivation kwenye maisha na anaweza kuharibu kazi yake na ndio itakuwa downfall yake huku kwa demu very possible ana jamaa mwingine anampa kiburi
Haya mambo ndio yanafanya wanaume wanakufa mapema

Tena hiyo anafanya kwa kumheshimu wengine wanatangaza Kabisa kuoa mke mwingine na Wala hawafanyi kificho
 
Mkuu hapo suala sio salamu, tatizo kubwa ni kuwa mkeo hana mawasiliano na wewe labda kama kuna shida tofaut na hapo mpaka uwaze wewe kupiga simu au kutuma sms.
Hiyo hali inatokea pale mtu anapomchoka mwenzake na kuazisha mahusiano mapya.
 
Ukiona hivyo kuna mwamba anapewa salamu ulizopaswa kupewa wewe.

Halafu cha ajabu ukute jamaa nae anapiga kimya hata akisalimiwa.

Maisha hayapo fair kabisa. Anaekitaka kitu hakipati na anaekipata hana haja nacho.
 
Kama wiki inaisha haulali nae basi yuko jamaa anajipigia , huyo wife wako anamtumia meseji nyingi za mapenzi huyo jamaa, alafu huyo jamaa huwa anachelewa kuzijibu meseji za mapenzi za mke wako na mke wako analalamika kuwa huyo jamaa hamjali kama wewe unavyolalamika
 
Na huo ndio uhalisia mchungu wa maisha
 
Sio sahihi lakini ingependeza lama na yeye angeletwa hapa tumsikilize, inawezekana ana sababu za msingi😀
Mawasiliano ni jambo la pande mbili, yakishaanza kuleta shida ujue ndio kwisha habari.

Hiyo comment uliyoniquote imenishtua, nilichanganya naedit
 
Mawasiliano ni jambo la pande mbili, yakishaanza kuleta shida ujue ndio kwisha habari.

Hiyo comment uliyoniquote imenishtua, nilichanganya naedit
Kutokuwa na mawasiliano kuna jambo limesababisha.

Labda atuambie je ipo hivyo tangu amemuoa au ni tabia ambayo ni mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…