Siyo kweli hujawajua wanawake mkuu, anaweza akakuchoka kwa sababu zake binafsi au shinikizo la marafiki zakeMambo ya ndoa yana mengi sana kaka. Kupoteza hisia kwa mwanamke wakati mwengine husababishwa na sisi wenyewe. Mtu daily unamchapa matukio wife unategemea hisia zinatoka wapi? Ni vyema pia kujiangalia personally kama uko sawa, inawezekana hana hata mtu lakini tu amechoshwa na reapeted actions zinamtoa mchezoni. Jichunguze mkuu kwanza kabla haujapoint fingers. Communication is key, ikishindikana involve watu wenye hekima wamueleweshe kuna kujisahau pia. Ndoa ni kuvumiliana na kujifunza everyday.
Wanawake ni very complex creatures, cha msingi ni kuwa na demu wa pembeni akuliwaze ama sivyo anaweza kukupiga tukio ukajiua