Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dingi muache bi mkubwa ashtue shtue injini......Marahaba, naomba ushauri wake , nimuulize au nikae kimya
Acha tu!!Kweli? Umenitafuta wapi? 😂😂😂
Umeongea nae..??Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia yake kwangu aliyonionesha kwa miaka hiyo tuliyoishi, niliona si kawaida.
Mbaya zaidi hizo msg alizokuwa anatuma kwa huyo bwana( siwezi kumwita hawara kwa sasa) ilikuwa ni kama yeye anataka mahusiano yaendelee, maana mwanaume alikuwa akimjibu kwa mkato tu.
Mke- kwema, kimya
Mume/ baada ya siku tano/- kwema nipo, sawa
Mke- mmm sawa hiyo vipi,
Mume/ safi
Mke — mvua tu
Baada ya wiki
Mume— mzima wewe
Mke—upo poa wewe
Kwema tu, hofu kwako,
Kimya jamani, naona umetupa jongoo na mti wake,
Jua kali tu ee utadhani limeshuka.
Mume, nipo , hujibu SMS zangu!
Mke— saa ngapi tena wewe ndio hujibu.
Mume—- hahahaa upo!
Mke— nipo kuzeeka tu ndio kumepamba moto.
Mume—- aaa baba ajambo
Mke—- yupo tu aliacha na kazi sasa hivi yupo tu nyumbani.,
Mume—/ poa
Mke tena baada ya wiki
Mke —Upo kaka, za uzima!
Mume— poa.
Baada ya kushindwa kuvumilia na kuepusha kuona maajabu zaidi, nimeamua kulileta hili hapa ili mnisaidie, mke wangu bado nampenda, lakini nataka nijue nini kinaendelea,
Swali je nimuulize au nivumilie kidogo.
Watoto tunao wanne na wana maisha yao.
Hhahaha awe na heshima gani?Wanaume kama nyie mtakufa maskini.
After 30yrs of living together ndio unajifanya kumfatilia?
Au umepata kigoli unamtafutia Sababu?
Au ni Stori ya kutunga hii.
Wewe ni Mzee ndugu yangu kua na heshima.
Chino location ni ile ile Mwenge. Kwani ww unanitafutia wapi?? 🤣🤣🤣Acha tu!!
Mpk lini hivi
Haha muonee huruma chino
Soli zinaisha
Nilipobakiza ni geti la lugalo tu.Chino location ni ile ile Mwenge. Kwani ww unanitafutia wapi?? 🤣🤣🤣
Uttoh2020, kwa jinsi unaona hizo chart, kwa muono wako , je ni nzuri kwa Mume, au zinatia mashaka
Lakini upendo utsendelea tena ndugu yangu kuishi na mtu wa namna hii,
Kumbuka nimeishi naye miaka yote hiyo kumbe slikuwa na mambo yske,
Nasikia uchungu sana kama ni kweli alikuwa ni malaya, nashindwa hata kuongea naye vizuri,
Kila akiongea naona ni tapeli fulani,
Lakini swali langu lipo palepale , je nimuulize?
Sawa nitamuuliza usiku huuKama tumepita hapo, ushauri wangu, puuza tu Kaka, ila mweke vikao na Hakikisha amejuta sana.
😂😂😂😂 na huko utapigishwa kichura na wazee wa baka baka.!!Nilipobakiza ni geti la lugalo tu.
Sawa nitamuuliza usiku huu
Nishapeleka jina mpaka kwa babu ila bila bila.😂😂😂😂 na huko utapigishwa kichura na wazee wa baka baka.!!
Wewe bana chino jitahidi utaniona
Atafute tutoto twa afu mbili achangamke kidogoMiaka 30 ya ndoa bado ana wivu?? Si atafute vishangazi vya 90s vimpetipeti achangamke, huyo bibi anampa presha za bure wala hamna wa kumtaka 🤣🤣🤣🤣
Kwanza uliacha umeniponza kule na mie nikapigwa kufuli 🤣🤣Nimetoka bff wangu 🥰🥰
Nambie nimekumiss 😘😘