jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Unamchukia mwamposa huku ukikesha kufuatiria mkesha...pole sana.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanasiasa yoyote huchungulia udhaifu na asipo ona huo udhaifu huzusha mambo. Kuna mkesha huko uwanja wa mkapa. (Nabii Boniface mwamposa) anaunguruma huko.Huu uzi unaongelea nini kwa aliyeelewa anielekeze.
Wata wababaa wako kibao hukooo.Kawateka akina mama na akina dada saaana
Kabisaaaa.Hii inathibitisha na kuonesha,wajinga walivyo wengi
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watuuuu khaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]km umeonga 30 dem anaenda kutoa vuka na chako 20 ,ten anabaki nalo kwa ajili ya matumiz yake,yaan mwamposa anakula 20 safiiiii kupitiaa jasho lako na dem wako ..
Krb taifa...
Uko serious?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ningekuepo ningeudhuria namkubali mno mwammposa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyiee khaaaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekukubali mzee baba huku futa la upako pembeni na maji yetu ya Canadian. Pepo tunaiona ilee, gegedo lenye baraka zote
Inshort..ngapi ngapi huko?Leo uwanja wa Mkapa ni Mwamposa, alafu uwanja wa uhuru ni Kanisa Katoliki kuna usiku wa sifa limeandaliwa na umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki! Hilo eneo leo limetekwa [emoji2]
Mmm kwanini nao wasipange siku tofauti? Kazi ipo !Usiku huu pia kuna tamasha la usiku wa sifa la Kanisa Katoliki pale uwanja wa uhuru! Kama Mwamposa pia yupo sijui itakuwaje huko ...