mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 404
- 230
Mkoa mzima wa Mara hauna hata naibu Waziri, hii ni dharau kwa Hayati JK Nyerere
Kuteua mawaziri watano mkoa mmoja ndio kubalance ?Hata aliyepita aliwabagua waislamu na wasio kanda yake bora mama kabalance
Msoga anaiharibu Sana hii nchi.Hata aibu Hana.1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Za nini wakati Mkeka uko uchi kabisa!Tupe takwimu
Na uzuri watu wa pwani hata hawajasoma[emoji3][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]Pwani ndiyo ya mwisho. Kiuchumi shukuru Wasukuma na maasai kuleta kilimo na ufugaji. Wenyeji ni ngoma tu na kulawitiana
Sagini anatokea mkoa gani vile?Hivi Beatrice Kamugisha. Sisi mkoa wa Mara ndiyo hatuna wabunge ?!.
Chief Hangaya Mungu anakuona [emoji872][emoji849]
Kwani Nyerere ni Nani?yeye alikuwa mtanzania Kama sisi.Mambo mengine alikosea hivyo masisi tukosee kama yeye.
Mwacheni mama ajenge nchi.
We mpuusi mbona unaendekeza ukabila? Kwamba watu wa pwani si watu? Kipindi cha mwendazake ulizungumza kuhusu usukuma? Kutawala Baraza la mawaziri?1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Kama mlivyo nyie mashoga? Watu wa kskaziniHoja ya msingi sana acha aendelee ni zamu yao masnichi
Nyie watu mnachuki Sana na uislamu shida nini?Ongezea na hii; halafu kawang’oa wakristo tu ili Ajaze waislam
Kipindi cha magufuli mlisema?Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Ostadh gang. Hii inaitwa ostadh gang1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Jibu hoja usilete utoto hapa. Ni wapi mkoa mmoja wa usukumani ulitoa mawaziri watano ?Ina maana yule bedui alipojaza Wasukuma kuanzia kwenye Uwaziri hadi ukurugenzi wa halmashauri alikuwa na maana kwamba wao ndio walikuwa na mchango zaidi!
Nani anakataa kwamba hayuko kazini ?Na hao wote ni wakazi wa Kinondoni.
Kwahiyo Kinondoni imetoa mawaziri Watano.
Tuache mambo ya kugawanya nafasi za uwaziri kwa sababu ya eneo.
Tanzania sio nchi ya Muungano ya Majimbo, hivyo uongozi haulazimiki kufuata mgawanyo ama uwakilishi wa majimbo.
#Mama yupo kazini.