masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mikoa iko 26.Baraza lina mawaziri na manaibu wangapi ?? Mgawanyiko wao kikanda upoje na mapendekezo yako ni yapi ili mh asidanganywe ??
Nimehesabu nafasi za Uwaziri au Naibu Waziri 51.
Sasa hapo mtu hawezi kushindwa kucheza na matrix ya kujenga utaifa.