Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mikoa iko 26.
Nimehesabu nafasi za Uwaziri au Naibu Waziri 51.
Sasa hapo mtu hawezi kushindwa kucheza na matrix ya kujenga utaifa.
Kwahiyo mapendekezo yako kila mkoa utoe wa wili sio ?? Halafu baada ya hapo tutakuja na ishu ya makabila, kuna wengine watasema kuna makabila hayaja chaguliwa, nk
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Mkoa mzima wa Mara hauna hata naibu Waziri, hii ni dharau kwa Hayati JK Nyerere
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Enzi zile sasa
1. Bitteko-home kabisa
2. Kalemani- Wa sebuleni
3. Mabula- wa nyumbani
Achana na hao wa Shinyanga sijataka kuwajumuisha.
 

Wakati wa gang hamkuyatetea ivo mlilaumu tu kwa style ile ile tena ya sio mkoa mlikua na slogan ya kanda ya ziwa kwa maana ukabila.
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Kuna yeyote unayedhani hafai hapo?
 
Hakuna palipo andikwa ulazima wa kila mkoa kutoa waziri.

Mwacheni mkuu wa nchi afanye anavyo jisikia maana tukisema tunahitaji katiba mpya mnaanza kumbwela mbweela
Huo ndio ujinga wa ninyi ma coconut msio ns akili timamu.
Mtaunga mkono hata mambo yenye makosa ya wazi.
 
Huo ndio ujinga wa ninyi ma coconut msio ns akili timamu.
Mtaunga mkono hata mambo yenye makosa ya wazi.
Hapo dawa pekee ni katiba itakayo mpunguzia madaraka yasiyo na ukomo rais .

Vinginevyo tutaendelea kupigana vijembe na kupingana kila sentensi hapa jamvini.
 
Hapo dawa pekee ni katiba itakayo mpunguzia madaraka yasiyo na ukomo rais .

Vinginevyo tutaendelea kupigana vijembe na kupingana kila sentensi hapa jamvini.
Mambo mengine ni common sense na kuweka Utaifa mbele.
Huhitaji katiba mpya ili ku exercise common sense.
 
Pwani Gang aka Sembe Gang Aka Zaramo Gang[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…