Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

2020 kulikuwa na waislamu 4 tu kati 23 na hakukuwa na waziri wala naibu toka Zanzibar watu walipohoji waliambiwa Rais ateuwi kwa kuangalia dini wa kabila lakini sasa mnaanza maneno maneno.
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Jafo naye ni Dr siku hizi?
 
Maswali haya mbona hayakuwepo wakati wa bedui au kwa sababu Rais aliyopo ni Mwanamke Mzanzibari tena ni Muislamu?
 
Tuna mikoa 26!na wizara zaidi ya 30,na nafasi manaibu zaidi ya 30,kila mkoa ungeweza kuwa na nafasi za uwaziri kuanzia mbili.mama kachemka
Mbona mnang’ang’ania kwamba tuna mikoa 26? Mikoa mitano mnaipeleka nchi gani? Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina mikoa 31.
 
Sijajua hasa kigezo cha kuteua mawaziri ni nini lakini kuna mikoa haina waziri hata mmoja na mikoa mingine mawaziri 5.

Kwa mfano, mkoa wa Tanga ina mawaziri 3, Pwani ina mawaziri 5 huku mara ikiwa na Naibu waziri mmoja.

Angalia mfano hapa Pwani.
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia

Mwanza ni mkoa wa pili kwa pato la Taifa Tanzania, una waziri mmoja wa Ardhi. Je Pwani ni bora sana kuliko Mwanza?

Ukija kwenye utenguliwaji, wote wanaotenguliwa ni wafuasi wa Issa Bim Mariam, Chamriho, Kalemani, Ndungulile, Job Ndugai, Waitara, Lukuvi, Mkumbo, Mwambe, Prof Majalala na wanaoteuliwa wote ni wa Uarabuni.

Ama mama amekuja kuhakikisha watu wa upande wake wanapendelewa?
 
Mbona kama umepanic sana,yani hujibu hoja ya [mention]masopakyindi [/mention] unaanza kumletea hadithi za yeye kuwa legendary tena,au ndiyo nyinyi wa Pwani mmeguswa kidogo tu mnacharuka kama mmetiwa ndimu.
Alete analysis tuone siyo hayo tu. Kabla ya jana Pwani ilikuwa nao 4 sikuona neno, leo kaongezeka mmoja imekuwa shida. Mbona kuna sehemu zingine wameongezeka?
 
Pwani oyeee

1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia

Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?

Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Uzuri watu wa pwani hawana shida na mtu, na wala hawana tabia ya kujirundikia miradi ya maendeleo ktk maeneo yao. Hivyo acha waendelee . Hata ingekuwa nusu ya baraza zima ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom