Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Sasa hivi ni zamu ya Coastal Gang! teh, teh, teh, teh, teh!1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Uruguay nchini?
Mwanza inao watatu mzee: Tax Bamwenda, Mabula na Masanja (Naibu). Mtaangamia kwa kukosa maarifa!Sijajua hasa kigezo cha kuteua mawaziri ni nini lakini kuna mikoa haina waziri hata mmoja na mikoa mingine mawaziri 5.
Kwa mfano, mkoa wa Tanga ina mawaziri 3, Pwani ina mawaziri 5 huku mara ikiwa na Naibu waziri mmoja.
Angalia mfano hapa Pwani.
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
Mwanza ni mkoa wa pili kwa pato la Taifa Tanzania, una waziri mmoja wa Ardhi. Je Pwani ni bora sana kuliko Mwanza?
Ukija kwenye utenguliwaji, wote wanaotenguliwa ni wafuasi wa Issa Bim Mariam, Chamriho, Kalemani, Ndungulile, Job Ndugai, Waitara, Lukuvi, Mkumbo, Mwambe, Prof Majalala na wanaoteuliwa wote ni wa Uarabuni.
Ama mama amekuja kuhakikisha watu wa upande wake wanapendelewa?
Hivi Pinda ni WA wapiMikoa ya Rukwa na Morogoro haijapata waziri wala naibu hata mmoja. Kama yupo naomba nisahihishwe.
Unachukuaje mawaziri 3 kutoka mkoa wa Tanga, mawaziri na manaibu kutoka majimbo karibia yote ya mkoa wa Pwani
Lkn mikoa ya Morogoro na Rukwa haina hata naibu waziri?
Hilo baraza lina sura ya kitaifa kweli?
KataviHivi Pinda ni WA wapi
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Hapa haizungumziwi kanda bali ni mkoa mmoja wa Pwani mawaziri watano. Hiyo ndio hoja ya mtoa uzi.Kumbe watano tu hakuna kibaya japo wakitoka kanda ya ziwa hata wawili husemwa sana hasa kipindi kile.
Am done for today
Hakuna mkoa wa usukumani uliotoa mawaziri watano. Acha masihara !Mmeanza kutafuta chochoko,
Enzi zile mbona Baraza lilijaa wasukuma na hatukusema[emoji4]
Yupo Jumanne SaginiMkoa mzima wa Mara hauna hata naibu Waziri, hii ni dharau kwa Hayati JK Nyerere
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Visiwani wametoka wangapi?1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Weweee! Usitufananishe na Kenya sisi, hapa hatuna mambo ya ukabila, kwani waziri akiwa wakabila au kanda yako itakuwaje. Piga kazi jombaa achamambo ya ukandaKatiba mbovu sana. Kama Kenya Rais anateua mawazili kwa kubalance Kanda na jinsi ipo kwenye Katiba. Hiyo ndio picha halisi ya utaifa kuwakilishwa. Sasa huyu mama yeye anaangalia 2025.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tanzania ina mikoa karibu 30, mawaziri ni kama 60. Mkoa mmoja kutoa 5 na mingine kuambulia 0, kilio cha ubaguzi, udini, ukanda, ukabila kitasikika. Na hasa katika nchi ambayo bunge limefunikwa na serikali, na kiongozi serikalini ana uamuzi wa kuhamisha fungu la mradi wa maendeleo toka eneo moja kwenda eneo jingine.Hebu tupe idadi ya kanda ya ziwa
Kanda ya kaskazini.
Kanda ya nyanda za juu kusini...
Hizi siasa za kifala, watoto wetu watakuja kutudharau sana
Weweee! Usitufananishe na Kenya sisi, hapa hatuna mambo ya ukabila, kwani waziri akiwa wakabila au kanda yako itakuwaje. Piga kazi jombaa achamambo ya ukanda,ila kwenye issue ya katiba tupo pamoja.
Nyumba za kutibu waathirika wa madawa ya kulevya ( sobber house) ziongezwe.Yetu Macho Acha Tusubiri Utendaji Wao Wa Kazi Tutarudi Kuzungumza.
Sidhani kama regional representation ni kitu official bali kilianzishwa na Mkapa ili apate political support kubwa pande zote za nchi.Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Rais Samia hapa washauri wamekubambika.