Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi, Scotland: Rais Samia ametuangusha

Hawana akili, juzi Shaka anaropoka eti mamlaka ya hifadhi za misitu ziruhusu watu waharibu misitu, wanaongea mambo ya ajabu, JPM alikuwa strict na mkali wa ujinga kama huu.
 
Afrika hakuna viongozi mkuu kuna watawala angalia huyu tuliye nae huu ni mwaka 2021 yeye akili na mawazo yake yanawaza uchaguzi wa 2025 Sasa huyu ni kiongozi [emoji23]
 
Hatutaki Rais asiyekuwa na exposure, na muelewe wazi nchi hii haitatawaliwa tena na washamba.

Dosari za mama tunazijuwa tutadeal naye accordingly, lakini never again kukabidhi nchi kwa washamba.
 
Hatutaki Rais asiyekuwa na exposure, na muelewe wazi nchi hii haitatawaliwa tena na washamba.

Dosari za mama tunazijuwa tutadeal naye accordingly, lakini never again kukabidhi nchi kwa washamba.
Ni nani aliikabidhi nchi kwa washamba?
 
Hawana akili, juzi Shaka anaropoka eti mamlaka ya hifadhi za misitu ziruhusu watu waharibu misitu, wanaongea mambo ya ajabu, JPM alikuwa strict na mkali wa ujinga kama huu.
JPM is dead Man, naona yatima mnashindwa kuukubali ukweli, is no more, tupo awamu ya Sita wewe bado unaota awamu ya kishetani?
 
Ni hasara sana kuongozwa na kiongozi anayewaza kuombaomba pasi na kutafuta Suluhu.

Mafanikio na maendelea ni kazi na akili kama kiongozi asilimia 80% ya mawazo yake ni kuombaomba hata ashuke malaika Gabriel hatutoboi.
Nakumbuka akiwa arusha alisema hata hela za kujenga stendi ataomba mahala.

Watu wa pwani kiasili ni omba omba. Hawawezi kuishi bila kuomba. Utumwa uliwaharibu sana akili.
 
Tanzania ni kipande kilichopo duniani na madhara ya climate change yanatuadhiri pia kwa mfano theruji imeyeyuka kwenye cap ya mlima Kilimanjaro, ukame na mafuriko.
Na hayo majanga ni makubwa kuliko uwezo wa taifa kukabiliana,misaada ya kupambana na majanga hayo ilenge kwenye capacity building.
 
JPM is dead Man, naona yatima mnashindwa kuukubali ukweli, is no more, tupo awamu ya Sita wewe bado unaota awamu ya kishetani?
Wewe akili huna, Kwamba mtu akifa hatakiwi kuongelewa? Nyerere kila siku anaongelew ahumu kwani yuko hai?

Halafu kwani kufa ni jambo la ajabu, wewe hutakufa?

Unaandika kama umekalia mshine.
 
Sisi tulizoeshwa na JPM kujitangaza kuwa ni matajiri na huo ndiyo ukweli na utabaki hivyo. Mambo ya kuzurura ni ya wa pwani. HAPA KAZI TU
 
We lofa kweli,KWA hyo wakupe KWA mkono huu afu wakupe masharti ya kuingiza sheria zao za kishenzi kama ushoga!

Mnateteaga upumbavu sana
Hivi toka tuanze kupewa misaada enzi za Hayati baba wa taifa ndani ya familia yenu wamepatikana mashoga wangapi ?!!! Wanazidi 5?!!
 
Kuandika tu kiswahili fasaha hujui....utaweza kuwa na Weledi wa kumshauri kiongozi wa nchi ?!!! Khaaa 😲😲🤣
 
Kwa hiyo watu milioni moja tanzania waliochanjwa ndo walikua na covid hawa milioni 60 waliobaki hawakua na covid sio?

Wachawi waliua watu kupitia mgongo wa covid sasa baada ya kumaliza kazi milioni 60 wamepona covid, hii ni hatari sana.

Jifunze kama wewe nyumbani kwako unapenda kujitegemea bila kuomba kwa jirani basi hata nchi tungependa tujitegee tubakize mahusiano ya kawaida.
 
Masalia ya utumwa akili utumwa ndio urithi ulio tamalaki. Elimu mazingira tena elimu shirikishi bottom-up, ushiriki wa viongozi tena kuwa mfano, usimamizi, sera thabiti, citing sustainable development goals hasa vipengele vya mazingira, kuhimitiza utekelezaji wa maazimio mbalimbali ya nyakati zilizopita, na kuainisha mafanikio ya tanzania katika utekelezaji wa maazimio hayo na mipango thabiti iliopo kwa sasa na baadae, kuweka mfano bayana wa tunachofanya tanzania kwa muktadha wa maudhui at hand.

Wenye akili wapo lakini je wanaheshimika, kujumuishwa, kuaminiwa, kushirikishwa na kupewa nafasi za kuwasaidia viongozi.

Unapewa pesa baada kuonesha na kuainisha relevant proposals au projects zinazovutia watoa pesa.
 
Ndio maana hizo pesa hazikutolewa walifanya makusudi wanawajua viongozi wa Africa ni mafisadi hivi kwa akili ya kawaida kupanda mti unahitaji pesa si unachukua tu mbegu za Miche
 
Toa uboya wengi wamekufa wangapi? Wewe kwenu mmekufa wangapi kwa corona wewe mbona hujafa kwa corona!!???,mwendazake alisistiza sana watanzania tufanye kazi kwa bidii tujitume na tuache uvivu na hiyo ndo siraha kubwa kwa mafanikio ya kuepukana na umasikini kuomna omba kunalemaza na kunaleta umasikini fullstop.
 
Aliegoma kutembeza bakuli katumia trilioni 4+ za wazazi wetu wastaafu. Dhambi iliyoje
 
Kelele nyingi humpoteza mbwa....

Tunapotezwa tupambanie UKABILA ,UDINI ,UMAJIMBO NA UKANDA na kuonekana tunafanya la maana la KUJITAMBUA NA KUJITHAMINI....

Huo utumwa usemao ni upi ?!!!
Wa kiwango gani ?!!!

Wa kufungana minyororo na kushurutishwa kama enzi zile tulizochukuana wenyewe kwa wenyewe baada ya kushindwa vita baina ya makabila yetu ama kipindi kile walipotuchukua watu weupe?!!!

Utumwa upi uongeleao haswa?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…