Kabisa unaamini Tanzaia inaweza kulazimisha hizo ncho zilizoendelea? Unaota?Nchi zilizoendelea zinapaswa kutoa fidia kwa nchi masikini kwani viwanda vyao ndio vinatoa gas nyingi zinazoharibu ozone layer. Tena sio kwa kubembeleza ilibidi iwe ni lazima.
Nchi kuendelea sio tozo Wala misaada Bali kutumia resources zake to the maximumNchi bila misaada haiendi ndio maana kina mwigulu walikuja na tozo za miamala mkaanza kulia lia, na ujue budget ya nchi 60% inategemea wahisani Sasa acheni kujilisha upepo serikali ikiongeza Kodi mtaanza kulia ka yatima jangwani.
Ndio ni aibu kuomba omba huku Nchini kwako umejaza Rasilimali Asili na Rasilimali watu za kutosha.Mnaona aibu kuomba omba? Mnamuonea aibu nani asiyejua nchi hii ni masikini wa kutupwa na inategemea misaada kuendeshwa? Ndiyo hali halisi nchi masikini kama hii haiwezi kumudu mfano tozo ya kupunguza carbon (carbon tax).
Lazima tusaidiwe au mnataka Watanzania wafe na tai shingoni kwa kuona aibu kutembeza bakuli? Ndiyo maana yule aliyepita aliona aibu za kuomba msaada wa kupambana na Covid-19, wengi wakafa kwa ajili hiyo. Tukubali nafasi yetu hapa duniani kama nchi masikini, tunaotegemea misaada miaka 60 tangu tupate uhuru.
Na nchi zenye resources nyingi ni maskini maana hawana technology ya kuzitumia hzo resources kujitoa kwenye umaskini na hata Hali ya masoko inaamuliwa na wakubwa wa dunia unaweza kuzitumia hzo rasilimali ila kujitoa kwa umaskini ni ngumu maana unapangiwa Hadi bei ya kuuza bidhaa zakoNchi kuendelea sio tozo Wala misaada Bali kutumia resources zake to the maximum
Tanzania ina kila aina ya rasilimali, itumie hizo kutoka hapa tulipo.
Kachukue mfano wa Singapore au China, alafu uje uone aibu tuliyonayo huku Africa.
Toa solution tufanyejeNa nchi zenye resources nyingi ni maskini maana hawana technology ya kuzitumia hzo resources kujitoa kwenye umaskini na hata Hali ya masoko inaamuliwa na wakubwa wa dunia unaweza kuzitumia hzo rasilimali ila kujitoa kwa umaskini ni ngumu maana unapangiwa Hadi bei ya kuuza bidhaa zako
Tunaomba fedha zaidi. Nchi hizi za Magharibi labda zina msaada wa maana kwenye hela wanazotoaKutembeza bakuli ndiyo sera ya awamu ya sita.
Ni yale yale ya Maria Magdalena.Kama kuna uhaba wa mkate si wangekula keki?Kipato cha siku kwa watanzania wengi (majority wanaishi vijijini ni shillingi ngapi?)Ninadhani kuhimiza wananchi kutumia majiko ya gesi na kupunguza matumizi ya kuni na mkaa ingekua ni jambo la kujadili ndipo kuomba msaada wa kifedha.
Kweli viazi mviringo ni vingi humu jukwaani.Hizi ngonjera zako zilimshinda Nyerere akang'atuka urais akamwachia Mwinyi nchi iko hoi kiuchumi.
Naye yule chizi wa Chato akaja na skili za kijinga kama hizi.
Muelewe yule mama mkitaka awapeleke hivi mnavyotaka nyinyi mtakaoumia ni nyinyi, hakuna Rais anayeumia kutokana na nchi kuwa na hali ngumu.
Hata huyo Magufuli baba wa uwongo kama alivyo shetani hajawahi kuwa na maisha magumu tangu singie serikalini achilia mbali Urais, tena yeye ndio kufuru alikuwa anatembea na begi limejaa pesa, anamgawia anayejisikia yeye kumgawia siku hiyo na huku akiwahadaa na kuwadanganya wajinga wenzake kwamba watembee kifua mbele Tanzania ni tajiri kumbe yeye ndio tajiri, na hilo kundi la wajinga wenzake kina Abunuwasi hawa unakuta wengi hawana uhakika wa milo hata miwili tu.
Ndio, ya wale wahindi!? Niambie imefanyajePole,
Unaijuwa Nyanza Construction?[emoji441][emoji441]
Hivi unajua kuwa tanzania ndo nchi pekee ambayo wananchi wake wana muda wa kwenda kupoteza muda.[emoji57]Lini watanzania waliacha kujituma na kufanya kazi kwa bidii?!!!
Unaongea kana kwamba uko ndotoni vile......
Okay tozo bado zipo bakuli linatembea hadithi zilezile .Nchi bila misaada haiendi ndio maana kina mwigulu walikuja na tozo za miamala mkaanza kulia lia, na ujue budget ya nchi 60% inategemea wahisani Sasa acheni kujilisha upepo serikali ikiongeza Kodi mtaanza kulia ka yatima jangwani.
Solutions ni kupunguza gharama za gesi na umeme Ili watu wapikie kwa wingi
"....nchi pekee"....Hivi unajua kuwa tanzania ndo nchi pekee ambayo wananchi wake wana muda wa kwenda kupoteza muda.[emoji57]
KAMA UNGELIKUWA WEWE NDIO RAISI UNGEFANYEJE?Wafugaji wamejaa maporini wanafyeka misitu/mapori eti wanyama wao wasipotee, hakuna anaejali! Wenye mamlaka wako bize na machinga! Bado mapori ya akiba/tengefu kwa ajili ya kuhifadhi mazingira mnawagawia wananchi wafyeke waishi! Ina maana Mwalimu alikuwa mjinga kuyatenga? Aisee yaani afrika haina viongozi ndiyo maana tramp alikuwa anawadharau sana! Yaani ni mizigo! Ndiyo haibebeki! Mapori yanateketea halafu wanaenda ulaya sijui kusema nini! Sisi wakulima tunasikitika sana!
👍👍Mama kanyaga twende, tunaimani na wewe tena kubwa mno.
HUU NDIO UKWELIHatutaki Rais asiyekuwa na exposure, na muelewe wazi nchi hii haitatawaliwa tena na washamba.
Dosari za mama tunazijuwa tutadeal naye accordingly, lakini never again kukabidhi nchi kwa washamba.
Angetaja hata juhudi zilizo ndani ya uwezo wetu za upandaji miti basi ingetosha.Wanabodi,
Kama mtanzania, inawezekana umepata nafasi kufuatilia yanayojiri nchini Scotland kwenye mkutano unaohusu mabadiliko ya tabia nchi. Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi wengi akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alihutubia mkusanyiko huo.
Tofauti na nchi kama China, Marekani na India, Tanzania haihusishwi sana kwa kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia nchi. Umuhimu wa kuhudhuria mkutano huo ni kujumuika na viongozi wengine katika kujadili suala hili na kuwa na mchango unaoweza kuleta manufaa chanya kwa miaka mingi ya baadaye.
View attachment 1996340
Nimebahatika kuanglia hotuba zote za Rais Samia na kwa bahati mbaya au nzuri, aligusia zaidi kwenye umuhimu wa nchi zilizoendelea kuzisaidia nchi ambazo hazijaendelea kifedha ili kuweza kukabiliana na tatizo hili la mabadiliko ya tabia nchi.
Labda inawezekana kwamba ni kweli Tanzania inahitaji misaada hiyo lakini kwa upande wa pili haipendezi kuona kwamba mawazo haya ya kuendelea kupata misaada imetawala katika vichwa vya viongozi wetu. Kauli kama hizo zinaweza zisizae matunda.
Ingependeza sana kama Rais Samia angejizatiti zaidi katika kuongelea umuhimu wa kuwa na "balance" katika shughuli za maendeleo, maslahi ya binadamu na mikakati ya kulinda mazingira. Kama Tanzania, angezungumzia changamoto zinazo sababishwa na mabadiliko ya tabia nchi na mipango yetu haswa katika kipindi ambacho tunatamani uchumi wa viwanda.
Kwa nchi zilizoendelea, umuhimu wa sayansi katika kuvumbua njia mpya zisizo chochea uharibifu wa mazingira zinazoweza kutumika kwenye sekta mbali mbali
Mungu ni mwema, wakati wote