Pre GE2025 Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Marekani na Uingereza si ni walewale tu lao moja kiutawala Dunia.Sasa sisi na Wanyarwanda na Warundi tuna malengo sawa?
Watutsi wa Kagame wao wanajiona ni superior race na kwamba wao waliumbwa kuwatawala wenzao(Tafuta Uzi wa Bahima Empire)
 
Zis is serias!
Wanyarwanda na warundi bado wamo jeshini na usalama?
Nchi hii hatuko serious na usalama wa nchi!
 
Zis is serias!
Wanyarwanda na warundi bado wamo jeshini na usalama?
Nchi hii hatuko serious na usalama wa nchi!
Uzur ni kwamba na wao wanafahamu hilo. Nilifikiria ni sisi tu hapa jukwaan tunapigizanaga kelele bure bila msingi. Kumbe inasaidoa na wao wanafuatilia
 
Marekani na Uingereza si ni walewale tu lao moja kiutawala Dunia.Sasa sisi na Wanyarwanda na Warundi tuna malengo sawa?
Watutsi wa Kagame wao wanajiona ni superior race na kwamba wao waliumbwa kuwatawala wenzao(Tafuta Uzi wa Bahima Empire)
Hao nawajua sana na tamaa ya utawala, na migogoro yote tunajua, inawezekana CDF anajua ana maanisha nini ila kazuga tu na watu wamekurupuka na kuanza kumtaja Bashe ambae hata Somalia haijui
Wanaoongelewewa na kulengwa ni Bahima Empire ndio maana kuna uzi niliandika nikasema tunahitaji bajeti kubwa kwenye Ulinzi kwa sasa badala ya madege ya abiria tungenunua za kivita
Sasa tunajionyesha mbele ya hao hao kwa kuruka kutoka kwenye helicopter na kamba mambo ya kizamani na kubeba Manati what a joke 🤣
 
Uzur ni kwamba na wao wanafahamu hilo. Nilifikiria ni sisi tu hapa jukwaan tunapigizanaga kelele bure bila msingi. Kumbe inasaidoa na wao wanafuatilia
Kati ya vyombo vyote, naliamini JWTZ kwa uzalendo toka moyoni. Vyobo vingine kwamuda mrefu vimetumika kisiasa.
Namuunga mkono CDF, kwa kulisema hili hadharani.
 

Hii CDF kaiweka wazi ili baadhi ya watu kwenye utumishi wa umma waone aibu na waache kupenda rushwa!

Baadhi ya watumishi wa umma hawana uchungu na nchi, wanawaza rushwa tu. Haya ya watu wasio watanzania kupata nafasi kubwa kama hizo ni matokeo ya rushwa tu.
 
Punguza mhemko. hajasema hawajulikani. Amesema wapo nchini kama waomba hifadhi na wakimbizi. bado utaratibu wa kupata uraia kamili haujafanyika au hata hawajaomba lakini wameingia katika ajira na wengine wamepenya hadi nafasi za maamuzi. Lakini pia mkimbizi au muomba hifadhi kupata uraia siyo haramu. Nchi hii ina wakimbizi wa tangu miaka ya 1970's, wananishi nchini na hawajapewa uraia rasmi. Kimsingi haowatu ni watanzania, hawawezi kuitwa wakimbizi maana wamezaa na wana wajukuu waliozaliwa ndani ya nchi.
 
Pesa mwanaharamu
Mtu anaingia leo kesho ana kiwanda na anaajiri na ana ardhi anajenga
Lakini wengi wanapambana tu na maisha lakini wanapata vyote hivyo kutoka kwa wazawa waliokabidhiwa dhamana ya nchi kwa thamani ndogo

Wangekamata waliotoa vibali na passport na sio kinyume
 
Kati ya vyombo vyote, naliamini JWTZ kwa uzalendo toka moyoni. Vyobo vingine kwamuda mrefu vimetumika kisiasa.
Namuunga mkono CDF, kwa kulisema hili hadharani.
Na inawezekana they mean biznes kulisema hadharan maana wangeweza kuli communicate internally tu.. sasa kuliweka public inaweza ikawa ni message intended to be delivered kwa wahusika..either humu ndani au huko nje
 
Wamechukua hatua gani hadi sasa baada ya kugundua serikali ya ccm inawapata nafasi wakimbizi serikalini 🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…