Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani na Uingereza si ni walewale tu lao moja kiutawala Dunia.Sasa sisi na Wanyarwanda na Warundi tuna malengo sawa?Wanaweza kuwa wazalendo zaidi ya wanaojiita wazawa
Hujui Africa kuna silaha wanapewa majambazi na kwenda kufanyia uharamia?
Wanaokula Rushwa maofisini ni kina nani?
Wanaobambikia kesi watu ni nani?
Kuna watu wanaiba hela za miradi mabilioni ila huoni wamefungua makampuni je umejiuliza hao wazawa wanazipeleka wapi hizo hela ?
Kama wana nia mbaya nazo unajuaje?
Leo mnabaguana mpaka mnawataja walioshika wadhifa tena kwa upendo wao kuingia siasa
Ni mmoja katika milioni ya wasomali ndio utaona kwenye siasa au General mwenye asili ya Rwanda au Zambia lakini babu zao walikuja miaka 100 iliyopita
Sasa kuna watu humu wengi sana asili zao sio hapa ila kwa kuwa ni wabantu hawajisemi kwa woga
Ila wenzetu mbona wanasema asili zao kama Biden ambae ni Irish?
Ila wabongo waoga kwanini
Kwani ukisema asili yangu Zimbabwe nani atakurudisha kwenu
Mind yoursMind your language kijana.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge jijini Dar es Salaam leo tarehe 22 Januari, 2024
CDF: VIJANA WETU WA MIAKA 15 HADI 35 WANALENGWA NA WANA MTANDAO WA UGAIDI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema hali ya ulinzi na usalama ni shwari licha ya uwepo wa matukio ya kigaidi na itikadi kali na kuwa kuna vijana wanaochukuliwa na kwenda kujiunga kwenye makundi ya Kigaidi Nchini DR Congo, Msumbiji na Somalia.
Amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye anashiriki kwenye Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
CDF: BAADHI YA WAKIMBIZI WAMEPEWA TEUZI SERIKALINI KATIKA NAFASI ZENYE MAAMUZI
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob John Mkunda amesema kuanzia Januari Mosi, 2023 hadi Desemba 31, 2023 jumla ya Waomba Hifadhi 138,149 walipokelewa Nchini Tanzania.
Ameongeza kuwa imebainika baadhi ya Waomba Hifadhi au Wakimbizi au familia zao wameteuliwa Serikalini katika nafasi zenye maamuzi.
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa CDF na Makamanda unaofanyika 302 KV Brigade Mess, Mwenge Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
RAIS SAMIA: JESHI LIWE TAYARI KUKABILIANA NA CHOCHOTE KITAKACHOJITOKEZA
Rais Samia Suluhu amesema "Ombi langu kwenu (JWTZ) ni kwamba Mwaka huu (2024) na Mwakani (2025) tunatarajia kuwa na chaguzi na hapa ndipo usalama mkubwa ndani ya nchi unapotakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi, niwaombe sana Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwenye Kamandi zenu tofauti kujipanga kwa ajili hii.”
Amesema hayo katika Mkutano wa Saba wa Mkuu wa Majeshi-CDF na Makamanda wa Mwaka 2023 Jijini Dar es Salaam, leo Januari 22, 2024.
Ameongeza “Ni chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi vyenye nia tofauti, hatuoni kwamba kila kitu kitaenda kama kilivyopangwa, ni vyema tukakaa tayari kukabiliana na chochote kile kitakachojitokeza."
Mkimbizi aliyelengwa wa kizazi kimoja anajulikana.Sawasawa
Umesahau aliomba uraia kipindi cha Chikwete ?.Huyo hajawahi kuwa mkimbizi yeye wala wazazi wake, wala babu na bibi zake.
Uzur ni kwamba na wao wanafahamu hilo. Nilifikiria ni sisi tu hapa jukwaan tunapigizanaga kelele bure bila msingi. Kumbe inasaidoa na wao wanafuatiliaZis is serias!
Wanyarwanda na warundi bado wamo jeshini na usalama?
Nchi hii hatuko serious na usalama wa nchi!
Unaweza kuleta huo ushahidi au unalopoka tu?Umesahau aliomba uraia kipindi cha Chikwete ?.
Shida inaanzia hapoHumo wanyarwanda wamejaa unadhani wanafanya kazi gani?
Hao nawajua sana na tamaa ya utawala, na migogoro yote tunajua, inawezekana CDF anajua ana maanisha nini ila kazuga tu na watu wamekurupuka na kuanza kumtaja Bashe ambae hata Somalia haijuiMarekani na Uingereza si ni walewale tu lao moja kiutawala Dunia.Sasa sisi na Wanyarwanda na Warundi tuna malengo sawa?
Watutsi wa Kagame wao wanajiona ni superior race na kwamba wao waliumbwa kuwatawala wenzao(Tafuta Uzi wa Bahima Empire)
Kati ya vyombo vyote, naliamini JWTZ kwa uzalendo toka moyoni. Vyobo vingine kwamuda mrefu vimetumika kisiasa.Uzur ni kwamba na wao wanafahamu hilo. Nilifikiria ni sisi tu hapa jukwaan tunapigizanaga kelele bure bila msingi. Kumbe inasaidoa na wao wanafuatilia
Mtz anamchukia ndugu yake kisa rushwaWewe Mtanzania unahenya kupata passport na hata namba ya NIDA lakini wakimbizi kibao wanazo. Hii nchi yaani basi tu!
Hahaha nyie waarabu wa bonyokwa mna vituko.
Punguza mhemko. hajasema hawajulikani. Amesema wapo nchini kama waomba hifadhi na wakimbizi. bado utaratibu wa kupata uraia kamili haujafanyika au hata hawajaomba lakini wameingia katika ajira na wengine wamepenya hadi nafasi za maamuzi. Lakini pia mkimbizi au muomba hifadhi kupata uraia siyo haramu. Nchi hii ina wakimbizi wa tangu miaka ya 1970's, wananishi nchini na hawajapewa uraia rasmi. Kimsingi haowatu ni watanzania, hawawezi kuitwa wakimbizi maana wamezaa na wana wajukuu waliozaliwa ndani ya nchi.Yaani,haya ndio maoni ya CDF! Anasema kuna watu wanapata uraia, bila serikali kujua!? Kuna ubaya gani, MTU kutoka Rwanda, Burundi, Congo, kuomba uraia? Au kwa vile ni weusi? Mbona wa Asia, wazungu,wapo kibao tu,? Kama jeshi, na taasisi zake za, intelijensia, hawana, tskwimu, na wala hawajuhi hao watu, basi, huyu jamaa, ni kilaza kweli kweli, yaani na jwtz na wao wanalalamika! Kuhusu, wakimbizi haramu! Ingekuwa jeshi lenye weredi, angesema, wamekamata watu 3000+walioingia kinyemera! Fucking stupid
Pesa mwanaharamuTumeandika sana tangu Jambo Forum (2006) mpaka hii leo Jamii Forum (2024), kuwa kuna raia wa nnje wamepatiwa pasi za Tanzania na wana vyeo huko serikalini,mashirika ya umma na taasisi za umma,lakini vyombo vya dola vimeweka pamba masikioni.
Kuna miaka ya 2010 hivi RSO wa mkoa fulani alipelekewa "dossier" ya mtu fulani mkubwa,akasema atafanyia kqzi,lakini mpaka leo huyo mtu yupo na nafasi kubwa tuu.
Hii inchi ni kama nyeti za kuku upepo uvumapo.
Ipo siku tutalia.
Na inawezekana they mean biznes kulisema hadharan maana wangeweza kuli communicate internally tu.. sasa kuliweka public inaweza ikawa ni message intended to be delivered kwa wahusika..either humu ndani au huko njeKati ya vyombo vyote, naliamini JWTZ kwa uzalendo toka moyoni. Vyobo vingine kwamuda mrefu vimetumika kisiasa.
Namuunga mkono CDF, kwa kulisema hili hadharani.