Wamefanikiwa kupotezea mambo muhimu kwa mambo ya kipuuzi
Ccm Wametuweza Sana Kwenye HiliHapana, mlango wa ndege unafunguliwa kutokea ndani, inaanzwa kufunguliwa kanjia fulan kapo kwenye mlango ili kulevel pressure ya nje na ndani kisha unauUnlock. bila ivyo haufunguki ni kama inavyokuwaga ile sufuria ya pressure cooker lazima Upressurelise nje na ndani ndio uweze kufungua
Ccm Kwasasa Ndiyo Inamzururisha MajaliwaMm nimevua sana, Jahazi zetu zilikiwa zinaenda Mafia, Msumbiji, Kilwa nk. Nimeishi Mtwara na najua kasia ni nini na huundwaje, hakuna kasia la Chuma kwa mitumbwi hii yote ya kienyeji. Nimesafiri na meli za utafiti wa mafuta kule mtwara mara kibao.
Nimepanda ndege za kawaida, na pia Helcopter nimepanda, naelewa nachokwambia.
Dogo aache uongo ambao hauna mbele wala nyuma. Ukiamini maneno ya Dogo kuwa yy ndio alifungua mlango kwa kuuvunja basi utakuwa na matatizo ya akili.
hahahaBoya ww, unahisi unamjibu mtu mstaarabu? Mm Gaidi boya wewe, ntakunyonya mavi mchana kweupe.
Naona huyu anataka kuchokonoa mambo mpaka watu waanze kuhoji jee majaliwa alienda kuokoa au kuangalia mapozeo kama mambo yanavyokua zinapotokea ajali?Ungeacha Majaliwa apokee hela zake zote kwanza
Wewe unaonekana huna akili na ni mwizi pia ndo mana unawaza wote ni wezi km wwPilika za uokozi au WIZI dogo alifikiria basi lile Kama kawaida kusachi mungu mwema kinyume chake kimekuja auheni kwake
Yani umeongea kweli, roho za kwanini aka kikorosho ndo zimetujaa hatupendi kuona mafanikio ya wenzetu. Hapo angekufa akiokoa ungesikia ambavyo wangeongea lkn kapona roho zinawauma kwann yeye. Sijui hii roho imeanzia wapi ndo mana hatuna maendeleoWatanzania tuna roho mbaya sana......yaani tunaumia sana kusikia mafanikio ya mtu.........haya mambo yapo mpaka maofisini na mitaani....... waTanzania tuna roho mbaya sana........
Msikilize na Injinia Victor!Imagine....
Suala la Dogo linawasumbua watu jamani...
Nimesikiliza Maelezo ya yule Mfanyakazi wa MDH aliyepona kwenye hiyo Ajali...Nimemuelewa vyema sana..
Naomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
Uchuro tu...Msikilize na Injinia Victor!
Umemaliza kila kitu!Ndege ilivyojikita ktk maji mlango ukavunjika lock majaliwa kaenda kuupush tu na kasia lake kama kusukuma mlevi, wachezaji ni wengi ila yupo nyota wa mchezo jamani
Hata kwa nje unafunguliwaHapana, mlango wa ndege unafunguliwa kutokea ndani, inaanzwa kufunguliwa kanjia fulan kapo kwenye mlango ili kulevel pressure ya nje na ndani kisha unauUnlock. bila ivyo haufunguki ni kama inavyokuwaga ile sufuria ya pressure cooker lazima Upressurelise nje na ndani ndio uweze kufungua
Na hata kama hakufungua mlango, abiria wengi wangekufa kwenye maji bila mitumbwi kuja kuwaokoa. Mpeni credit zakeUmemaliza kila kitu!
Najiuliza, kwani ndege ilitua uwanjani au iliingia kwenye maji kwa kishindo?
Kama iliingia kwa kishindo, kuna uwezekano vyuma vyuma vikawa vimelegea na dogo aliweza kufungua mlango kwa nje!
Yote kwa yote jamani, dogo ni jasiri. Kitendo cha kuisogelea ndege iliyopata ajali ni ujasiri. Nani hajui ndege ikipata ajali inaweza kulipuka. Jiulize, ungekuwa ni wewe ungeisogelea kirahisi hiyo ndege na ungeweza kufanya hizo harakati alizofanya Majaliwa?
Majaliwa alienda hadi kwa rubani ili amuokoe ila ikashindikana. Huo ni ujasiri pia.
Dogo alipigwa na kamba kichwani akazimia, huu ni ujasiri pia.
Jiulizeni, wataalamu wangapi wa uokoaji waliwahi eneo la tukio na kuisogolea ndege?
Halafu inaonekana kuna kampeni inayofanywa na vyombo vya ulinzi kumshusha dogo kwa sababu wao walikuwa wazembe!