Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

Nimejiuliza sana bila majibu. Nadhani wahudumu wa ndege walifanya jitihada za kufungua mlango ndipo shujaa Majaliwa akasaidia kuunasua ama kuuvuta kwa nje maana kwa jinsi ile ndege ilivyokuwa mlango usingefunguka vizuri wao wakiwa ndani.
Kuna abiria mmoja alitepona alikuwa anasema kuwa,kuna mfanyakazi wa kwenye ndege ndiye aliyekuja kuufungua mlango na wao waliokuwa nyuma ndipo wakaanza kutoka.Mlango wa dharura una funguliwa kwa ndani nii manually,ila unahitaji nguvu kubwa kuufungua,hivyo hata kama ndege imezimika bado unaweza kufunguka ,
 
mnatupigia makele tuu wengine hata ndege hatujawahi kupanda..
images%20(65).jpg
 
majaliwa alifanya hiviii

full stop case closed uzi ufungwe mana wengi washamba.
images%20(66).jpg
 
Watanzania mtakufa kwa wivuuuuu
Mungu akiamua kukupa anakupa tu muda ukifika
 
Kuna manusura alisema mudumu ndie aliyefungua mlango, hapa inawezekana mhudumu alifungua kitasa na aliyekua nje alifungua mlango, kwa aliyekua ndani ni dhahiri mlango ulikua mzito kutokana na presha ya maji, na muda huo pia akili za waliokua ndani ni tofauti na waliokua nje.
Na ukumbuke kwamba kama hakuna oxygen ya kutosha ndani milango inakuwa ngumu kufunguka.
 
Najua milango ya dharula kwenye ndege, inakua pia nyuma karibu na mkia, Kwa majibu wa muhanga mmoja, andai, watu wa mbele, walifunikwa na maji ila pia alimuona mhudumu akihangaika kuufungua mlango wa dharula.
Ila hajui kama alifanikiwa.
you are right majaliwa alifungua ule wa kushusha chini huku muhudumu akiangaika na huu mlango wa bafu huku [emoji52]
Screenshot_20221112-094039.jpg
 
AKA YA Majaliwa anakuambia mtaani anajulikana kama "Maja Mnyama." Dogo sound nyingi alafu hizo pesa anazopewa ingekuwa vizur angewapa na marafiki zake waliokuwa wote kwenye pirika za uokozi.
Ha ha ha dogo kapiga sound Taifa mpaka mkuu wa Nchi
 
...SI Kuna wali Wahudumu wa Ndege Wasichana Wawili ambao Mwanzo tuliambiwa ndio Walisaidia kwenye kuongoza Abiria kutoka kwende...lakini Sasa Wameshauriwa Kabisa kama vile hawakuwepo! Mambo yote ni Bwana Mdogo Majaliwa TU.
Au Walinywa wake kimwa?
Walistahili nao Kuitwa Bungeni....!!
Majaliwa kachukuliwa kama mpango mkakati wa kutuliza tukio na kuficha uozo wa sirikali
 
Punguzeni ujuaji. Dogo anasema baada ya kuupiga ule mlango kwa kasia ukafunguka, akaokoa baadhi ya watu then akazama majini akaenda kwa rubani. Rubani akampa maelekezo ya ulipo mlango wa dharura ambao ndio waloufunga kamba inayovutika.
Mlango unafunguka kwa nje, kuna sehemu unapress. Labda majaliwa alipiga kwenye ile sehemu ya kupush ukafubguka kirahisi
 
Kashapata dogo,riziki mafungu 7 na mtapiga kelele sana
 
Mlango unafunguka kwa nje, kuna sehemu unapress. Labda majaliwa alipiga kwenye ile sehemu ya kupush ukafubguka kirahisi
Na ikumbukwe haikuwa emergency landing, ilikuwa inatua kawaida na si abiria au wahudumu walikuwa wametayarishwa kwa emergency landing. Na kukiwa na pressure kubwa ndani ya ndege sio rahisi kuufungua ule mlango kwa ndani kama hakuna matayarisho yoyote
 
Kwa Kadri nilivyowasikia majaaliwa na wenzake na pia manusura wa ajali ni kwamba walipokuwa wanagonga mlango kwa kasia walioko ndani walisikia kwamba kumbe huko nje kuna msaada tayari, hivyo aidha mhudumu au baadhi ya abiria wakaenda kwenye mlango na kuufungua lock yake kwa ndani na mlango ukafunguka. Kuna clip ya jamaa mmoja aliyekuwa anaenda kikazi Tabora ila ikabidi wapande hiyo ndege yenye ruti ya Mwanza lakini kupitia bukoba. Huyu jamaa anasema baada ya ku recover from the shock of the accident na kuona maji yameingia ndani ya ndege na yamemfika kiunoni akasikia mhudumu akiomba life jacket ili aende kufungua mlango (nadhani ndiyo huo mlango akina Majaliwa walikuwa wanagonga na kasia). Basi jamaa naye akaamua kwenda hapo mlangoni maana ilikuwa jirani, na ndiyo wakawa wa kwanza kutoka na kuokolewa.
Kasikilize tena, wale manusura walitoka nje na hakukuwa na msaada wowote mpaka ukapita muda kidogo ndio ukatokea mtumbwi. Hoja yako sio sahihi na hujasikiliza bali umesimuliwa, nenda kaisikilize tena.
 
Alikuwa na mtumbwi ambao alikuwa na wenzake 2 na yeye 3
Kama alikuwa na mtumbwi basi yy hakufungua huo mlango, kwa maana walionusurika wamesema walifungua mlango na walipotoka hakukuwa na mtu wala mtumbwi wowote wa kuwapa msaada.
 
Umewahi kupanda mtumbwi? Unajua kasia lilivyo lakini?
Mm nimevua sana, Jahazi zetu zilikiwa zinaenda Mafia, Msumbiji, Kilwa nk. Nimeishi Mtwara na najua kasia ni nini na huundwaje, hakuna kasia la Chuma kwa mitumbwi hii yote ya kienyeji. Nimesafiri na meli za utafiti wa mafuta kule mtwara mara kibao.

Nimepanda ndege za kawaida, na pia Helcopter nimepanda, naelewa nachokwambia.

Dogo aache uongo ambao hauna mbele wala nyuma. Ukiamini maneno ya Dogo kuwa yy ndio alifungua mlango kwa kuuvunja basi utakuwa na matatizo ya akili.
 
Hapana, mlango wa ndege unafunguliwa kutokea ndani, inaanzwa kufunguliwa kanjia fulan kapo kwenye mlango ili kulevel pressure ya nje na ndani kisha unauUnlock. bila ivyo haufunguki ni kama inavyokuwaga ile sufuria ya pressure cooker lazima Upressurelise nje na ndani ndio uweze kufungua
 
Back
Top Bottom