Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Awww couldn't have said it better; May God bless you. Na Mungu aendelee kuitofaitusha ndoa yako na za wengine. You shall enjoy your marriage and never endure it IJN.
Ubarikiwe na kwako pia Heaven Sent , ukweli ni kwamba nachokiamini siku zote furaha yako uegemea kwenye kuwa na mtazamo chanya mengine Mungu atayaweka sawa binadamu sio wakamilifu lakini tunafundishana ili tuishi pamoja na kuwa na common goal, tunaambiwa katika kitabu kitakatifu Ndoa iheshimike na watu wote lakini ajabu unasikia kataa ndoa, ndoa ni utapeli acha tutavuna tunayoyapanda ,
 
Kitokacho kwa Mungu,hulindwa na Mungu hayo mengine timiza wajibu wako acha woga ,amini katika mazuri na mema
 
Write your reply... Wanawake wa ckuiz wameshindikana kwa hiyo itabidi tuwaache tu Kama walivyo
 
Hujamfanyia vizuri Mkuu.
Hao wengi wao ndio wapo hivyo, Kwa kulijua Hilo usingemuongezea mzigo. Sio Poah ujue
Malengo hayakuwa hayo,nilitaka niishi nae kama mke lakini kadiri siku zilivozidi kwenda nikaona ni changamoto kubwa sana kuishi nae,na hata mzee wangu aliniambia kiutu uzima kuwa nilikua naishi na mtu mzima natakiwa nitafute binti mdogo
 
Hivi mwanamke wa kukuambia maneno kama hayo,ulipewa Bure au ulitoa mahali, na ulimpata mkoa Gani ? daaaaah nimeumia sana mkuu
 
Hivi mwanamke wa kukuambia maneno kama hayo,ulipewa Bure au ulitoa mahali, na ulimpata mkoa Gani ? daaaaah nimeumia sana mkuu
Itakuwa pale Singapore maana wale wanakuwaga na majibu machafu sana. Singida Girl Mungu anawaona 🀣 🀣 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…