Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Mliambiwa lakini hamkusikia, sasa ni muda wa mavuno ya awali ya kile tulichopanda

Siku ukimegewa utachukua hatua gani? Ukizingatia mke hana makelele na bado unampenda ila ndo hivyo nafsi imemshinda kaachia mzigo kwa kijana kama wewe

😀😀😀
Kwa mujibu wa Biblia na hekaya za Wayahudi; Siku Mungu alivyosalitiwa na Adamu na Hawa maamuzi aliyochukua ndio hayohayo nitakayochukua.

Lazima ujifunze kuacha na kuachwa Kabla hujaingia kwenye UPENDO na mapenzi.
Ni hayo tuu.
 
😀😀😀
Kwa mujibu wa Biblia na hekaya za Wayahudi; Siku Mungu alivyosalitiwa na Adamu na Hawa maamuzi aliyochukua ndio hayohayo nitakayochukua.

Lazima ujifunze kuacha na kuachwa Kabla hujaingia kwenye UPENDO na mapenzi.
Ni hayo tuu.
Mbona Adam hakuacha? Na alisalitiwa mpaka ikamcost? Hiyo inatufundisha nn?
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa mujibu wa Biblia na hekaya za Wayahudi; Siku Mungu alivyosalitiwa na Adamu na Hawa maamuzi aliyochukua ndio hayohayo nitakayochukua.

Lazima ujifunze kuacha na kuachwa Kabla hujaingia kwenye UPENDO na mapenzi.
Ni hayo tuu.
Im speechless, usaliti umeanzia mbali namna hii
 
Nilifanikiwa kupotea kipindi flan,nikaishi na single mother akapretend maisha wee huku namsoma tu,dizain kulazimisha sana nikajitambulishe kwao na mimi nikatulia,nikamuongeza kijan mwingine ili awe double single mother,sasa ndio naona rangi zake halisi,nimepiga chini sasa ni kumlea tu kijana.
Single mother hata uwafanyie nini hawana jema.
 
Nilifanikiwa kupotea kipindi flan,nikaishi na single mother akapretend maisha wee huku namsoma tu,dizain kulazimisha sana nikajitambulishe kwao na mimi nikatulia,nikamuongeza kijan mwingine ili awe double single mother,sasa ndio naona rangi zake halisi,nimepiga chini sasa ni kumlea tu kijana.
Single mother hata uwafanyie nini hawana jema.

Hujamfanyia vizuri Mkuu.
Hao wengi wao ndio wapo hivyo, Kwa kulijua Hilo usingemuongezea mzigo. Sio Poah ujue
 
Adamu alisalitiwa na Nani?
Aliyesalitiwa pale ni MUNGU.
Usaliti unakuja pale umemuambia MTU asifanye hivi alafu yeye akafanya.

Au mmekubaliana hivi yeye akageuka makubaliano.
Sasa Adamu na Eva yapo ni makubaliano Yao?
Kuchati na shetani huku mmewe hajui sio usaliti? Kuchukua maamuzi kula tunda ambalo ashamzuia kula sio usaliti? Eva hakuwahi kuongea na Mungu chochote sasa atamsalitije? Alimsaliti mmewe maana ndie aliempa maelekezo akayakiuka
 
Mkuu tunapitia magumu sana kwenye maboma yetu haya
Changamoto azikosekani ndugu, ni namna tu ya kuzikabili, hakuna mkamilifu ukilijua hilo utaishi na kila mtu mzee,shida inaanz tunapoanza kujihesabia haki kujiona sisi watendwa ndiyo tumekosewa ila kuna kitu kilianza,mengine huwa tunayasababisha wenyewe pasipo juwa ,mengine yanatokea kwa kuwa nae mwenza wako ni chanzo jambo la msingi ni kubalance mzani, hakuna binandamu asiefundishika kama mbwa tu anafundishika why not wanadamu ,kaa na mwenza wako yamalize huko ,ya huku mtandanoni probability yakupata msaada wa kweli wa kusaidika ni 15% mengine ni kejeli utani nk
 
Kuchati na shetani huku mmewe hajui sio usaliti? Kuchukua maamuzi kula tunda ambalo ashamzuia kula sio usaliti? Eva hakuwahi kuongea na Mungu chochote sasa atamsalitije? Alimsaliti mmewe maana ndie aliempa maelekezo akayakiuka

Adamu hakujua kuwa Eva amekula,
Ile amri Ilimhusu Mungu na mwanadamu, na sio vinginevyo.
Eva hakuwa Chini ya adamu, hapakuwa na sheria ya hivyo.
Sheria ya usifanye ilikuwa moja tuu, nayo ni Usile tunda la mti wa Kati.

Haikuwa kosa Kwa Hawa kuongea au kuchat na Shetani kwani hakukuwa na sheria ya namna hiyo.

Hapa tunazumzia sheria Mkuu.
 
Daaah mwamba umenigusa sana, nimesafiri kikazi nipo mbali kimkoa nimezinguana na wife kwenye simu ananiambia majira ya jioni nisimtafute kwenye simu na Kama nitakuwa mbishi nitajuta nitakachokisikia(anamaanisha anaenda kuliwa), Nina machungu hayana mfano, mafunzo niliyojia huku hata hayanogi kabisa, nipo nawaza atakavyovuliwa chupi(sjui atavaa shanga au cheni, vyote nimenunulia Mimi) ...aaarrgh!!!

Kwa kweli nikiacha huyu mwanamke, sitakuja kuoa tena maisha yangu yote
Hakikisha huko huko masomoni unapata mke mwingine pamoja na wife spare mbili tatu mkuu..hutokuja kujutia.. na huyo mke mwingine usimweke akilini
 
Kwema wakuu!

Hizi habari za kuchapiwa, kuchapiana Wake na Wachumba hizi ni Mvua tuu za rasharasha. Tunasema haya ni mavuno ya awali, bado mambo hayajachanganya. Mambo yakichanganya hapa Dunia itakuwa na tafrani.

1. Mliambiwa Mwanamke anatakiwa Aolewe akiwa Bikra, mkasema bikra haimfanyi Mwanamke kuwa mwaminifu. Mkajiona mnaakili kuwashinda Mababu zenu.
Sawasawa, huu ndio muda wa kuvuna mlichopanda.

2. Mliambiwa na Mababu zenu kuwa Mwanamke hapaswi kumiliki uchumi, kupewa nafasi za utawala.
Ninyi mkajiona mnaakili kuwashinda wazee wenu. Hizi ni Mvua za rasharasha tuu. Nafikiri kizazi kinachofuata ndio mavuno yatachanganya.

3. Mliambiwa na Wazee wenu kuwa Hakuna urafiki baina ya mwanaume na Mwanamke. Mkawaona wazee wenu ni hamnazo.
Ati MTU anaruhusu Mkewe ataniwe taniwe hovyo, simu ya Mkeo imejaa chatting akichat na wanaume, Kwa kisingizio ni marafiki zake, sijui wafanyakazi wenzake, sijui classmates gani Huko.
Mtavuna mlichokipanda.
Eleweni kuwa NI ngumu Sana Mwanamke kuchapwa ndani ya siku moja bila mazoea.

4. Mliambiwa mkapuuza, msioe Wanawake wenye watoto, hasa Kwa kijana ambaye ni mdogo. Mkajifanya mnayajua mapenzi kuliko waliowazaa.
Sasa yakiwakuteni mnaanza kupiga mayowe.
Vijana lazima mjue kuwa kuna tofauti ya mapenzi na Ndoa. Mapenzi ni hisia lakini ndoa au familia ni taasisi inayoongozwa Kwa sheria na kanuni. Wakati mapenzi hayana Kanuni wala sheria.
Sio kosa kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na single mother, Ila ni kosa la kimkakati kuingia ndoani na Single mother.

Na hapa nazungumzia Kwa vijana wadogo wenye umri Chini ya miaka 40. Wazee mnaweza kuoa Mwanamke yeyote.

5. Mliambiwa msioe makabila tofauti. Mkajifanya mnaakili kuliko Babu zenu. ATI Kwa kudanganywa na maneno ya kisiasa. Ni kweli Sisi ni taifa moja lakini Sisi ni makabila tofauti yanayounda taifa moja.
Utofauti wa kimakuzi, desturi na Mila huchangia pakubwa kuvurugana ndani ya Familia.
Lakini hamtaki, kisa mnajifanya mmesoma, sijui mnashahada za uzamivu🤣🤣🤣 sasa mtavuna maumivu.

6. Mliambiwa Msiwe na huruma Sana na Wanawake na msiwaamini. Lakini Kwa ulofa wenu mmejichanganya.
Ni kweli wanasura za huruma, ni kweli wanatoaga machozi, ni kweli wanauwezo wa kuigiza ili waonewe huruma lakini kamwe usijichanganye.

Tumieni Akili, tumieni busara na hekima lakini msiongozwe na Huruma za kitoto na mihemko.
Oooh! Nimechepuka mara moja, nisamehe, ni Shetani, hakika Mimi ni Mwanadamu, huku anapiga magoti na kujiuliza. Upuuzi tuu! Sisi kama waafrika hakunaga kitu kinaitwa Msamaha Kwa kesi kama hizo.
Oooh! Huyu mtoto sio wako, Hana kosa lolote. Penda boga na Ua lake. Come on! Mmelogwa

Ooh! Taikon unachuki na Wanawake, hapana sina chuki. Hayo ni matunzo kila mwanaume lazima ayajue.
Vinginevyo vilio havikomi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uko sahihi kwenye mengi uliyoyaandika..lakini kwenye utofauti wa kabila kwakweli sikubaliani nawe...mimi mwenyewe hapa ni graduate wa Masters lakini kigezo cha mke ninayemtaka ni mwenye elimu isiyozidi form 4
 
Back
Top Bottom