Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wewe mkristo uislamu unaujulia wapi kama sio shobo ? upigwe na maisha ulete hasira zako hap 😀 😀Ndiyo maana nawaambia waislam waakiafrika hamna akili mnaiga na kukariri tu hivi huu mfano unaweza kulinganisha kinachoongelewa hapa kweli?msikitini na chumbani au mabinti na wanawake watu wazima wapi na wapi huoni ni vitu viwili tofauti?mnaoa zaidi wa wanawake 4 na mnalala nao majumbani kwenu ila msikitini muwatenge mna akili kweli nyie au ujuha??
Hizo zinaitwa mbinu za midaniHuyu hapa bwana Aziz View attachment 3019556
Haya madaraka ya ghafla hua yanakua na vituko sana...teh🤣
Mbona povu jingi chief au na ww ndo hao hao jamaa wa kuji "camouflage"...Wewe unachoona kina Manufaa ni nini? Rais Kuwa Salama, au Mlinzi kuvaa Hijab? Kama unaona Ajabu huyo kuvaa Hijabu sababu ya ulinzi mbona usione ajabu mtu kuuawa sababu ya Usalama wa Nchi? Au sababu sio wewe umeuawa ndio mana huoni ajabu? Usiniulize nani kauawa. Mimi sio Reporter wako.😏
Hapo wote wanamzunguka ni usalama.Hiyo ni taaluma ya watu. Wengi wetu tunaingilia tu. Na hao hao ndio wataongoza kulalamika pale jambo lisilo la kawaida likimtokea Rais.
Kuanzia muvuja kwa siri hii huyu jamaa atakuwa ameondolewaKuna ubaya gani? Akirudi kwake anaambiwa pole baba kwa kazi.
Nzito
Anaeka Ugali maisha yanaenda
Kumbe anavaa ushungi huko.
Sasa Sheikh mimi nitajuaje? Huoni hili swali ni gumu sana kwa mimi mzee wa kijijini!! Mimi nimeomba tu mwongozo kama ni sahihi, au la.Huyu mlinzi ni dini gani?
Ibada/Dini ndio zilizozaa siasa huwezi tenganishaKw
Kwani hilo jambo limetokea ikulu au msikitini. Na kwa nini mlete siasa kwenye nyumba za ibada?!
Siasa ndio muasisi wa Dini,msishangaeYeye msikitini kaenda kama muumini ama kaenda kama kiongozi wa dini?
Haya maigizo na kucheza na Imani za watu Mungu habadiriki. Kama ana Imani na Mungu wake haipo haja ya kufanya kituko hiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayatuhusu sisi hayo. Ilimradi kavaa juba na limemkaa vizuri na msikitini kaingia na ameswali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]siamini Akili zetu zimeishia hapo.Atleast angenyoa huo mustachi