Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Hii ni security breach,kwa kanuni za ulinzi duniani hatukupaswa kubaini kuwa huyu ni mwanaume ,na hawakujipanga ishu sio kuvaa hijabu ishu ni Siri na protocol walizingatia Nini kwenye hijabu/ Dera Wakati Kuna walinzi wakike wengi tuu,kiufupi wanawake wote hapo wamebaini kuwa rais ameingia na mlinzi wa kiume aliyevaa Dera
 
Kuna ubaya gani? Akirudi kwake anaambiwa pole baba kwa kazi.
Nzito
Anaeka Ugali maisha yanaenda
Kumbe anavaa ushungi huko.
 
Ina maana Allah hawezi kumlinda raisi wake , hii πŸ‘† kiimani imekaaje, ?
Ndio maana tunasema Imani ni udanganyifu na upotoshaji Kwa wanadamu
 
Kanuni za dini haziingiliani na serikali


Zinavunjwa tu

Hayo masuala ya taratibu za imani zenu pelekeni huko misikitini au makanisani kwenu

kudadeki
Yeye msikitini kaenda kama muumini ama kaenda kama kiongozi wa dini?

Haya maigizo na kucheza na Imani za watu Mungu habadiriki. Kama ana Imani na Mungu wake haipo haja ya kufanya kituko hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…