Demu huyo πππImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Hii ni security breach,kwa kanuni za ulinzi duniani hatukupaswa kubaini kuwa huyu ni mwanaume ,na hawakujipanga ishu sio kuvaa hijabu ishu ni Siri na protocol walizingatia Nini kwenye hijabu/ Dera Wakati Kuna walinzi wakike wengi tuu,kiufupi wanawake wote hapo wamebaini kuwa rais ameingia na mlinzi wa kiume aliyevaa DeraSawa kabisa mkuu. Bora ww umenijibu kwa hoja kuliko Huyo mpuz aliyeniambia naandika utumbo. Lakini hebu Tujiulize pamoja ni kwann kama Kiongoz wa juu maybe Makamu, Au PM wakiwa hata Rais wakiwa kwenye Marathon hao Security pia wanavaa Track suits? Hata Mhe. Akienda Kwenye Harusi akaonekana Maridadi nao pia hubadilisha muonekano. So ukiona Hivyo uelewe pia huyo Bwana kwa umuhimu wake na Nafasi ingekuwa ni lazma aingie huo upande wa pili wa msikiti. Lakin ili asiondoe conduct na atmosphere ya Ibada ndio ikabidi avae ivyo. Lakin kama angevaa kiume ingeweza kuondoa utulivu kwa kuwa Wote wanajua upande huo hawawez kuingia wanaume.
So imefanyika ivyo kwa ajili ya waumini wengne kama kujali zaidi utulivu na uzingatiaji wa ibada husika.
Umeamua kumdhalilisha na kumnyanyapaa mama wa watu. Kilichokufanya uone ni mwanaume ni nini? WaTz acheni roho mbaya!Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Ukitaka kuishi na waroma vaa Kama waroma ππImuuenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Dumeπππππ ni demu huyo sema maish tu
Mimi pia. Yuko presentable na kichwani ana madiniMm numemuelewa aliyekaa kulia kwa mh, hayo mengine hayanihusu
Au ndio hawa wanaoitwaga wanaume kama mabinti au sio???mwanaume kazini
Ni kujiropokea tu, ama kwa hakikaa!!!Hii nayo ni camouflage??? Hahaah
Yeye msikitini kaenda kama muumini ama kaenda kama kiongozi wa dini?Kanuni za dini haziingiliani na serikali
Zinavunjwa tu
Hayo masuala ya taratibu za imani zenu pelekeni huko misikitini au makanisani kwenu
kudadeki