Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Watanzania waongeaji sana mitandaoni ila kwenye kuandamana hawatokei
HOJA ni kuwa, ujumbe umefika au la!!!

Njia za kufikisha ujumbe zisikupe shida.

Kumbuka pia chawa wa mama waliandamana wakishirikiana na vyombo na ujumbe ulifika.
 
Mwenzao miradi yake inaonekana mpaka nje ya nchi
Ila wenzetu wale ni blah blah nyingi
Tunawambia watafute pesa wawe na nguvu wShike rasilimali za nchi
Wao miradi zao burdan tu kukata mauno tu

Ova
Hapo ndo mimi napingana na wote ambao hawataki bandari kwenda kwa mwarabu, maana hoja zao hazina hoja.

Bado mkataba baina ya DP na TPA haujaingiwa, ukiingiwa ndo tutajua ukweli
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Huyo Rostam ni dalali wa wamarekani kwenye uwekezaji wa biashara kubwa kubwa hapa Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki. Hakuna kipya, na wala hanaga uzalendo wowote kwa Tanzania.
 
Hapo ndo mimi napingana na wote ambao hawataki bandari kwenda kwa mwarabu, maana hoja zao hazina hoja.

Bado mkataba baina ya DP na TPA haujaingiwa, ukiingiwa ndo tutajua ukweli
Ni wezi,wavivu wanaonufaika na pale bandarini ndiyo wanapiga kelele
Wanajua akija mwarabu pale biashara yao kwishney

Ova
 
Huyo Rostam ni dalali wa wamarekani kwenye uwekezaji wa biashara kubwa kubwa hapa Tanzania na ukanda wa Afrika mashariki. Hakuna kipya, na wala hanaga uzalendo wowote kwa Tanzania.
Na wewe/nyie kwanini msitafute nguvu ya pesa,ushawishi muwe madalali wa nchi yenu

Ova
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Rostam Aziz alirudi nchini wakati wa Hayati JPM. Ni mfanyabiashara mzoefu hivyo alihitajika kuwepo kwenye huo msafara.

Samia anapita njia zile zile anazopita JPM na ndio maana ya KAZI IENDELEE, inaendelezwa tu kazi ilipoishia.
 
Nchi imeshauzwa hii, mkataba unaihusu Tanzania lakini unasainiwa Marekani
Tuliambiwa hivi kuwa Mkapa kauza nchi.
JK kauza nchi.
Na sasa Samia kauza nchi.

Labda mtuelekeze ni nchi gani hizo walizouza!?
 
Hii nchi haina kiongozi, hakika tunajiendea tu, halafu akiambiwa anajibu kwamba yeye anaziba masikio anafanya kazi kutuletea maendeleo.

Kumbe kazi zenyewe kimsingi wala hafanyi yeye, wapo wajanja ambao wanazifanya kwa manufaa yao kwa niaba yake, wakati huo yeye akiwa ameweka maslahi ya Tanganyika pembeni kwa muda.

Ndio maana jana Rostam amekurupuka kumjibu Dr. Slaa, ambapo kimsingi hata hakuna la maana alilojibu, zaidi ya kujitoa mhanga kumlinda huyo "body guard" wake hapo pichani anayeshuhudia bosi akitia saini..
Kumbe hatuna Kiongozi na maisha yanaenda, basi tuko vizuri
 
Namuona mama hayupo na Confidence kabisa tofauti na Rostam anae jua anacho kifanya. Hatujui nini kinaendelea nchi hii
Hapa ndio king ya DP ilivowekwa . Kuja kushtuka too late. Na bado mafinga imeuzwa ila hatuambiwi tu
 
Rostam atajua kama hajui , Tunafukua rasmi ya Channel 10 na yule mdogo wake aliyekamatwa na maelfu ya nyara za serikali
Then ndo mtapata nini!
Fikra za kimasikini hizo kuchukia matajiri.
Kumbukeni hao ndio waajiri wa maelfu ya vijana wetu
 
Back
Top Bottom