hii namba ilipga juzi, kwa mtu aliyepa 85, ila mtu wa 77.5 hajaitwa, ila sio guarantee ya kwmba imeisha mpka wakikutumia email hawawezi kuendelea na wewe ndio ujue umekosa, ila Sasa uvumilivu unahitajikaMajibu yenu hyana ushahidi mpaka Sasa accuracy yake ikoje,
Interview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.Majibu yenu hyana ushahidi mpaka Sasa accuracy yake ikoje,
Ok sawa ila kuna mshikaji wng kapigiwa simu na alipata 55 so tusubiriInterview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.
Amebahatika maana kuna jamaa ana 77.5 hajaitwaOk sawa ila kuna mshikaji wng kapigiwa simu na alipata 55 so tusubiri
Asubiri ikiwa hajatumiw email basi kuna awamu ataitwaAmebahatika maana kuna jamaa ana 77.5 hajaitwa
NMB wanalipa vzuri kumbe🤔Mwaka 2014 nilipata kazi nmb ya know your customer kyc nililipwa 470 kwa week
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobil
Kwa levels za juu,,,Ila hizi za chini chini hakuna kitu kabisa.NMB wanalipa vzuri kumbe[emoji848]
inaweza kuwa shilingi ngap? kwa level hii ya direct sales
Hii inatosha kusogezea siku kabsa wakati mambo mengine tukizd kuyapambaniaNasikia ni kaunzia 600k na kuendelea na malupu lupu ya kutosha now days
kwani kuna watu wametumiwa email??Asubiri ikiwa hajatumiw email basi kuna awamu ataitwa
Uwa wanautaratibu wakutumia watu walioshindwa email ila km ulipass utapigiwa simu ni suala kusubiri km ujatumiw emailkwani kuna watu wametumiwa email??
450,000.00 TZSinaweza kuwa shilingi ngap? kwa level hii ya direct sales
Hapana sio kweli, hakuna hata malupulupu ya kutosha, ukifungua akaunti moja unapata commission ya buku!Nasikia ni kaunzia 600k na kuendelea na malupu lupu ya kutosha now days
Sasa hvi wamebadilika ndio taarifa, hlf sihv wanamipango mingi, fikilia unalipwa laki6 .. na bado commission ya buku