TANZIA Mmiliki wa kampuni ya mabasi ya Tashrif, Hamoud Said Al Habsy afariki dunia

Hata ule kufa ni kufa tu
 
Ilitokea mto gani?
Hujachanganya na Msae?
 
Mto Msangazi, nilikuwepo pale that day. One of our staff made great efforts to swim and she saved some lives. It was a very sad moment! One of our RAAWU chairperson perished in the drown!
Yaani mwanamke ndiye aliyeokoa watu mtoni au mimi kimalkia changu ni butu? (One of our made great efgorts to swim and she saved some lives.)
 
Kafa kifo kizuri na cha faida.. Hakuna gharama hakuna maumivu hakuna HARI ZA KIFO
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema Peponi.
 
Baada ya hapo yakawa yanawaka moto sijui hitilafu ya umeme
 
Mwaka gani?
 
Mfano St Mary's schools
 
Umekosea sana sana ila ndo ubinaadam huna budi kusamehewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…