Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Mawazo ya wafuasi wa watawala na ma dictator popote huwa ni dhidi ya wananchi.Mkuu sijapinga, nimehoji labda hujaelewa.
Katiba mpya. Je,tukibadili katiba alafu ikakosa mtu thabiti wa kuisimamia? Tume huru itapatikana kwa mfumo imara ambao utaondo watu wenye nasaba na siasa kabisa. Sio huu mnaoulilia nyie waganga njaa.Mawazo ya wafuasi wa watawala na ma dictator popote huwa ni dhidi ya wananchi.
Tuboreshe katiba na tume kwa ajili ya vizazi na wajukuu wetu . Tusiwaachie ugomvi kwa sababu tu za kiitikadi .
Mawazo yako huwa ni ya hovyo sana humu Jf.
Wewe kama Idugunde Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya . Vinakuathiri nini ?! Kwanini uvipinge ?!
Ndiyo maana nikasema mawazo yako huwa ni ya hovyo mno humu Jf . Mtu imara ni yupi ?!Katiba mpya. Je,tukibadili katiba alafu ikakosa mtu thabiti wa kuisimamia? Tume huru itapatikana kwa mfumo imara ambao utaondo watu wenye nasaba na siasa kabisa. Sio huu mnaoulilia nyie waganga njaa.
katiba mpya na tume huru? sisi kijijini kwetu tunataka madalali wasitupangie bei ya mazao, pia tunataka maji yawe yanapatikana muda wote, barabara na umeme hakuna tatizo ila maji yanaweza kukata siku nzima, yanatoka kwa wiki mara nne au tano tu, tunataka yawepo muda wote, halafu na bei ya mafuta ya kula ishuke. yaani lita moja imekua karibu elfu 10 sasa hivi, hayo makatiba na matume yafuatie baada ya mambo hayo ya msingiWatanzania kwa sasa tunataka Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi! Tatizo liko wapi ikiendelea kushinda CCM katika mazingira ya uchaguzi huru na wa haki? Nyinyi kubalini tu uwepo wa hiyo Tume, lakini pia kuurejesha mchakato wa Katiba Mpya. Nyinyi si mnapendwa! Mmenunua ndege, mmeifanya nchi kuwa uchumi wa kati! Sasa hofu iko wapi?
Kinachotukera Watanzania wengi kiasi cha kutufanya kususia zoezi la upigaji wa kura, ni uwepo wa hiyo tume hovyo ya uchaguzi, mamlaka makubwa ya Rais kuingilia huo mchakato mzima wa uchaguzi, na uwepo wa wale nyau policcm wanao tumika kuwatisha wagombea wa upinzani, mawakala na pia wapiga kura.
Nikifikiria kichefu chefu cha tumeccm nasikia kutapikaKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Taasisi imara hujengwa na watu imara,amabao wanasimamia misingi ya katiba. Habari za kuiba kura achana nazo discuss mada husika. Niko gado natoa mawazo sahihi.Ndiyo maana nikasema mawazo yako huwa ni ya hovyo mno humu Jf . Mtu imara ni yupi ?!
Tanzania inahitaji TAASISI imara na siyo mtu imara. Taasisi zikiwa imara zitadhibiti viongozi wa hovyo . Kama hawa wanaovunja katiba na kuiba kura.
Nasema hivi acha utoto, kwakuwa umejiunga hapa jukwaani hiyo 2020, basi unajua hata katiba mpya imeanza kudaiwa kwa sababu ya ule upuuzi uitwa uchaguzi wa 2020.Usinitishe we jamaa,kama kuanza hata kama ni 1990. Je, hii itabadilisha mfumo wa upendeleo kwenye tume kama mnavyolalamika? Maana hata ikiwa kama tume ya warioba ilivyopendekeza hao wanaopitishwa kisha kuteuliwa na rais wataacha kuwa na mizengwe kama manavyolalamika? Tumia akili acha ushamba wa kisiasa.
Haya basi tokea mwaka 1992 mnadai katiba mpya,je ikibadilishwa mtapata ushindi wa ubunge ambao na wewe umeukosa mpaka roho inataka ipasuke?Nasema hivi acha utoto, kwakuwa umejiunga hapa jukwaani hiyo 2020, basi unajua hata katiba mpya imeanza kudaiwa kwa sababu ya ule upuuzi uitwa uchaguzi wa 2020.
Haya basi tokea mwaka 1992 mnadai katiba mpya,je ikibadilishwa mtapata ushindi wa ubunge ambao na wewe umeukosa mpaka roho inataka ipasuke?
Je haya malalamiko kuwa Mkurugenzi na Mwenyekiti wanateuliwa na kupendelea Ccm yatakuwa ndio mwisho?
Katiba mpya na tume huru ya uchaguziHuja haja ya kutukana, jibu swali kisha toa ushahidi. Au zile picha za Kawe ndio ushahidi wako? Mpaka leo mwezi wa nne hujaenda mahakani?
Pia kumbuka mada ni tume huru,je utakutoa?
RubbishKwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Ninyi wahafidhina wa Chadema nia yenu mnadhani mkipata katiba mpya mtapata madaraka.Ndio maana nakuambia hujui lolote kwenye katiba mpya, ndio maana unadhani katiba mpya ni kwa ajili ya kuitoa ccm madarakani. Narudia tena, punguza utoto kwenye majukwaa ya wanaume.
Tunahitaji Katiba mpya ambayo itatoa haki, hata tusipopata madaraka lakini atakayepata madaraka atapatikana kwa haki fullstop.Ninyi wahafidhina wa Chadema nia yenu mnadhani mkipata katiba mpya mtapata madaraka.
We mburura sio kuchukua madaraka wananchi wanataka viongozi waliopatikana kwa haki na UhuruNinyi wahafidhina wa Chadema nia yenu mnadhani mkipata katiba mpya mtapata madaraka.
Ni hivi mtaani kwetu sisi tumemkataa mwenyekiti wa mtaa kwani ni mpuudhi flani hivi na Wala hatukumchaguaMh.. hivi kama serikali imeingia bila ridhaa ya wananchi itatawala?