Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

Mnaomshambulia RC wa Arusha, mnafurahia kiongozi wetu kutukanwa?

Ndio maana nasema, huo uwezo wa Rais kufanya vetting unategemeana na Rais mwenyewe,

Ikiwa Rais anapenda safari, hatulii nchini, hapati muda mrefu kukaa Ofisini, atawezaje kupata ufanisi unaotakiwa?

Huoni kuwa mamlaka makubwa Kwa Rais asiye mfuatiliaji ni DISADVANTAGE?

Bado huoni umuhimu wa kupunguza mamlaka ya Rais, Ili Taasisi Imara ichukue KAZI hiyo?

Bado nabaki na msimamo kuwa, matatizo yetu, chanzo ni Katiba!!
Mamlaka makubwa kwa rais asiye mfuatiliaji ni irrelevant. Si advantage wala disadvantage. Kwa sababu rais hatayatumia.

Ni sawa na access ya gari lenye engine kubwa kwa mtu asiyejua kuendesha wala akili ya kulitumia.

Utasemaje hiyo access kwa gari hilo ni advantage au disadvantage kama mtu hawezi hata kuitumia?

Ukishakubali habari za kumtegemea rais mwenyewe, maamuzi kuwa arbitrary kwa kutegemea nature ya raus, habari za kutatua matatizo kwa kubadili katiba zinakuwa kisingizio tu.

Magufuli kavunja vifungu vingi sana vya katiba, katiba hii hii tuliyo nayo. Kapiga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa ambayo inaruhusiwa kikatiba, ambayo nibhaki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu, Tanzania tumesaini mpaka mikataba ya kimataifa kukubali haki hii.

Na hakuna mtu aliyemuwajibisha. Kwa sababu nchi nzima haina utamaduni wa kuheshimu katiba. Tatizo hapo nibutamaduni, si katiba. Huelewi wapi?

Sasa unaposhikilia kila tatizo litatuliwe na katiba mpya, hata matatizo ya kiutamaduni, tukipata hiyo katiba mpya halafu rais akikataa kuifuata kama alivyofanya Magufuli, na wananchi wakapotezea mambo ya katiba kama walivyopotezea kwa Magufuki, hiyo katiba mpya itatusaidiaje?

Don't get me wrong, hata mimi katiba mpya naitaka.

Lakini je, mnaelewa limitations za katiba? Mnaelewa kuwa matatizo mengine ni ya kiutamaduni na hayatatuliki kwa katiba mpya tu? Mnaelewa kuwa katiba iwe mpya au hii ya sasa inahitaji watu wa kuisimamia ili iwe na maana, vinginevyo inabaki kuwa "kijitabu tu" kama alivyosema rais Samia?
 
Umeniuliza swali umeuliza ujinga!? Huyo bashite ni wapi alimkemea huyo kimavi! Zaidi ya uchonganishi na kwanini unihoji mawaziri wawili kwani Baraza la mawaziri wapo wawili tu? Kwa kifupi huyu dickless wako unaendeleza ujinga wake wakuzaliwa nao vipo vyombo ambavyo kama ni hizo tuhuma wangezijua na biashara ingesha kitambo
Watu wengi hawaelewi juwa hizi ni kampeni za kisiasa za uchaguzi za 2025 zimeanza.
 
Wizara zipi zinahusika na kutumia vyombo kudhibiti hayo?

Mbona ni zaidi ya wiki, hawasemi chochote?

Unaamini jambo serious kama hili ni la kunyamaza na kudeal nalo underground?

Kosa la RC ni lipi Hasa.
Rc wako mzushi tu hakuna kitu kama hicho sema Kuna michezo yake inayofanana na hiyo na anaichezaga kishamba sema watu wanamchunia tu.
 
Mamlaka makubwa kwa rais asiye mfuatiliaji ni irrelevant. Si advantage wala disadvantage. Kwa sababu rais hatayatumia.

Ni sawa na access ya gari lenye engine kubwa kwa mtu asiyejua kuendesha wala akili ya kulitumia.

Utasemaje hiyo access kwa gari hilo ni advantage au disadvantage kama mtu hawezi hata kuitumia?

Ukishakubali habari za kumtegemea rais mwenyewe, maamuzi kuwa arbitrary kwa kutegemea nature ya raus, habari za kutatua matatizo kwa kubadili katiba zinakuwa kisingizio tu.

Magufuli kavunja vifungu vingi sana vya katiba, katiba hii hii tuliyo nayo. Kapiga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa ambayo inaruhusiwa kikatiba, ambayo nibhaki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu, Tanzania tumesaini mpaka mikataba ya kimataifa kukubali haki hii.

Na hakuna mtu aliyemuwajibisha. Kwa sababu nchi nzima haina utamaduni wa kuheshimu katiba. Tatizo hapo nibutamaduni, si katiba. Huelewi wapi?

Sasa unaposhikilia kila tatizo litatuliwe na katiba mpya, hata matatizo ya kiutamaduni, tukipata hiyo katiba mpya halafu rais akikataa kuifuata kama alivyofanya Magufuli, na wananchi wakapotezea mambo ya katiba kama walivyopotezea kwa Magufuki, hiyo katiba mpya itatusaidiaje?

Don't get me wrong, hata mimi katiba mpya naitaka.

Lakini je, mnaelewa limitations za katiba? Mnaelewa kuwa matatizo mengine ni ya kiutamaduni na hayatatuliki kwa katiba mpya tu? Mnaelewa kuwa katiba iwe mpya au hii ya sasa inahitaji watu wa kuisimamia ili iwe na maana, vinginevyo inabaki kuwa "kijitabu tu" kama alivyosema rais Samia?
Magu aliweza kuvunja Katiba iliyopo sababu ya mamlaka makubwa aliyonayo kikatiba,

Hitaji la kumpunguzia mamlaka makubwa Rais ni muhimu kabisa,

Nabaki na msimamo wangu kuwa, matatizo na mkwamo tunaoupitia ni mamlaka makubwa ya Rais ,

Hivyo umuhimu wa KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote Iko pale pale.
 
Salaam, shalom!!


Nimefuatilia hotuba fupi ya RC wa Arusha, ilijaa utulivu na mtiririko uliopangika kabisa, hivyo kusema kuwa aliropoka, Si Kweli, alidhamiria kusema aliyosema,

Tangu Mropokaji yule achafue Hali ya hewa majuzi, Waziri wa habari hakusema chochote, waziri wa Mambo ya nje kadharika aliamua kukaa kimya, Hilo pekee linatosha kumpa RC ujasiri wa Kutoka kukemea,ukizingatia, ameyasema hayo ndani ya Mkoa wake kimamlaka.

Kwa kuwa watu wale wale waliomtukana Shujaa Magu, ndio hao hao wanaorudi kumtukana Sa100
, ni sawa kabisa RC atoke kukemea.

NB: Kwa kuwa tumekubali kutolewa katika mijadala muhimu kama Tume ya Uchaguzi kubadilishwa Jina,KATIBA mpya, DP world kuanza KAZI bila kutaja wamewekeza Bei Gani, Ripoti ya CAG kuwekwa pembeni Kwa kuibua HOJA hafifu za kujadili matusi, basi tuendelee!!!

Karibuni🙏
Dunia nzima viongozi wanatukanwa huwrzi kuzuiaaa JPM kuwasikiliza simu na alitukanwa katumwa Arusha kuleta maendeleo wananchi sio deal media mitandaooo
 
Wewe ni MMOJA wa waumini wa DEMOKRASIA ya kumtukana Rais?

Huamini Tena juu ya tamaduni zetu na Maadili yetu ya kiafrika?
Tamaduni gani za Afrika, maadiki gani ya Afrika?

Afrika kubwa, Tanzania tu ina makabika zaidi ya 120 yenye tamaduni nyingi zikizo tofauti.

Ukisikia mtu anakuletea ujinga wa "tamaduni zetu na maadiki yetu ya Kiafrika" ujue huyo anataka kufanya anachotaka yeye, ika anataka kukioitisha kwa kutumia gia ya "tamaduni zetu za Kiafrika".

First of all, hoja ya "tamaduni zetu" ni logical fallacy.

Hii ni "argument from tradition" logical fallacy.

Tungefuata tamaduni zetu tusingejuwa na jamhuri, tungekuwa na falme za kurithushana uongizi. Ndiko tulikotoka huko kwenye uchifu.

Sasa unaongelea tamaduni gani?

Nikikwambia kuna makabika yalikuwa yanafanya human sacrifice, akifa chifu anazijwa nanwake zake, hizo nintamaduni zetu, ungekubaki tuzifuate hizo tamaduni?

Ungekubali Julius Nyerere azikwe na Mama Maria Nyerere, Mkapa azikwe na Mama Anne Mkapa, Mwinyi azikwe na Mama Sitti na Mama Hadija Mwinyi, Magufuki azikwe na Mama Janet Magufuli, kwa sababu ni tamaduni zetu za Kiafrika?
 
Dunia nzima viongozi wanatukanwa huwrzi kuzuiaaa JPM kuwasikiliza simu na alitukanwa katumwa Arusha kuleta maendeleo wananchi sio deal media mitandaooo
Hivi unajua Dunia nzima, Si lazima iwe Tanzania?

Wewe Ukiwa Ofisini bosi wako muda wote akiwa anakutukana, utaweza kuconcentrate na KAZI?

Kwamba unaona sawa Nape na Makamba kunyamaza mange akitukana ni sawa?

RC katika hili Yuko sahihi.
 
Hivi unajua Dunia nzima, Si lazima uwe Tanzania?

Wewe Ukiwa Ofisini bosi wako muda wote akiwa anakutukana, itaweza kuconcentrate na KAZI?

Kwamba unaona sawa Nape na Makamba kunyamaza mange akitukana ni sawa?

RC katika hili Yuko sahihi.
Ukiona unatukanwa saba jipange utupishe uwezo mdogo.....hakubaliki hata mawaziri wake atupishe....kupigana na mawazo watu mitandaobi ni ngumuu sanaaaa
 
Tamaduni gani za Afrika, maadiki gani ya Afrika?

Afrika kubwa, Tanzania tu ina makabika zaidi ya 120 yenye tamaduni nyingi zikizo tofauti.

Ukisikia mtu anakuletea ujinga wa "tamaduni zetu na maadiki yetu ya Kiafrika" ujue huyo anataka kufanya anachotaka yeye, ika anataka kukioitisha kwa kutumia gia ya "tamaduni zetu za Kiafrika".

First of all, hoja ya "tamaduni zetu" ni logical fallacy.

Hii ni "argument from tradition" logical fallacy.

Tungefuata tamaduni zetu tusingejuwa na jamhuri, tungekuwa na falme za kurithushana uongizi. Ndiko tulikotoka huko kwenye uchifu.

Sasa unaongelea tamaduni gani?

Nikikwambia kuna makabika yalikuwa yanafanya human sacrifice, akifa chifu anazijwa nanwake zake, hizo nintamaduni zetu, ungekubaki tuzifuate hizo tamaduni?

Ungekubali Julius Nyerere azikwe na Mama Maria Nyerere, Mkapa azikwe na Mama Anne Mkapa, Mwinyi azikwe na Mama Sitti na Mama Hadija Mwinyi, Magufuki azikwe na Mama Janet Magufuli, kwa sababu ni tamaduni zetu za Kiafrika?
Turudi kwenye mada,

Si sawa kiongozi wa Nchi kutukanwa matusi ya nguoni na wananchi hadharani.

Na hitaji la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote ni muhimu sana Kwa sasa.
 
Dunia nzima viongozi wanatukanwa huwrzi kuzuiaaa JPM kuwasikiliza simu na alitukanwa katumwa Arusha kuleta maendeleo wananchi sio deal media mitandaooo
KAZI ya RC Si kuleta maendeleo,

KAZI ya RC ni kushirikiana na wananchi Ili wapige hatua kimaendeleo Kwa raslimali zilizopo eneo husika.
 
Magu aliweza kuvunja Katiba iliyopo sababu ya mamlaka makubwa aliyonayo kikatiba,

Hitaji la kumpunguzia mamlaka makubwa Rais ni muhimu kabisa,

Nabaki na msimamo wangu kuwa, matatizo na mkwamo tunaoupitia ni mamlaka makubwa ya Rais ,

Hivyo umuhimu wa KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote Iko pale pale.
Magufuli hakuwa na mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya siasa.

Lakini alipiga marufuku na akafanikiwa.

Kwa sababu wananchi, bunge, mahakama, kote hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba na kuwawajibisha viongozi.

Tungekuwa na utamaduni huo, katiba ya sasa hii, inaturuhusu kumfanyia impeachment rais na kumuondoa katika urais.

Hapo kuna tatizo kubwa zaidi ya katiba, kuna tatizo la utamaduni.

Wewe unataka kujiaminisha kuwa katiba ndiyo itakayoleta mabadiliko wakati kiukweli utamaduni wa watu ndio unaleta mabadiliko, na hata hiyo katiba ni matokeo ya utamaduni wa watu.

Unataka kuifanyia jamii social engineering top down kwa kuimalizia matatizo yake kwa katiba, hata ya kiutamaduni, wakati ukweli ni kwamba, hata ukiwa na katiba nzuri vipi, kama watu hawaitumii kwa sababu hawana utamaduni wa kutumia katiba, katiba hiyo nzuri itakuwa nzuri kwenye makaratasi tu.

Again, narudi kwenye maneno ya Samia, katiba ni kijitabu tu, ili katiba iwe na maana inatakiwa watu waisimamie.

Sasa kama nchi nzima haina utamaduni wa kutumia na kuisimamia katiba, katiba mpya itasaidiaje hapo?

Yani wewe unataka kumpunguzia rais madaraka kikatiba ukifikiri tatizo ni katiba kumpa rais madaraka makubwa sana.

Wakati Magufuli alikuwa anatumia madaraka ambayo hata kikatiba hana, anapiga marufuku mikutano ya kisiasa ambayo ni haki ya kikatiba na kibinadamu, na hakuna aliyemfanya kitu.

Sasa hapo kumpunguzia rais madaraka kutakusaidiaje?

Yani wewe una benki, una mteja ambaye anaweza ku hack system yako ya benki akachujua hela anazotaka, hela zake na zisizo zake. Halafu, tatizo hilo unataka kulitatua kwa kuweka sheria kwamba huyu mtu tumpunguzie kiwango cha pesa anazoweza kuchukua kwa siku. Sheria ambayo hataijali na ataweza kuivunja kirahisi tu.

Hiyo sheria yako mpya ya kumpunguzia kiasi cha fedha za kuchukua kila siku itakusaidiaje kuzuia mteja kuendelea kuku hack na kuchukua hela zaidi ya zilizo kwenye akaunti yake?
 
Magufuli hakuwa na mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya siasa.

Lakini alipiga marufuku na akafanikiwa.

Kwa sababu wananchi, bunge, mahakama, kote hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba na kuwawajibisha viongozi.

Tungekuwa na utamaduni huo, katiba ya sasa hii, inaturuhusu kumfanyia impeachment rais na kumuondoa katika urais.

Hapo kuna tatizo kubwa zaidi ya katiba, kuna tatizo la utamaduni.

Wewe unataka kujiaminisha kuwa katiba ndiyo itakayoleta mabadiliko wakati kiukweli utamaduni wa watu ndio unaleta mabadiliko, na hata hiyo katiba ni matokeo ya utamaduni wa watu.

Unataka kuifanyia jamii social engineering top down kwa kuimalizia matatizo yake kwa katiba, hata ya kiutamaduni, wakati ukweli ni kwamba, hata ukiwa na katiba nzuri vipi, kama watu hawaitumii kwa sababu hawana utamaduni wa kutumia katiba, katiba hiyo nzuri itakuwa nzuri kwenye makaratasi tu.

Again, narudi kwenye maneno ya Samia, katiba ni kijitabu tu, ili katiba iwe na maana inatakiwa watu waisimamie.

Sasa kama nchi nzima haina utamaduni wa kutumia na kuisimamia katiba, katiba mpya itasaidiaje hapo?

Yani wewe unataka kumpunguzia rais madaraka kikatiba ukifikiri tatizo ni katiba kumpa rais madaraka makubwa sana.

Wakati Magufuli alikuwa anatumia madaraka ambayo hata kikatiba hana, anapiga marufuku mikutano ya kisiasa ambayo ni haki ya kikatiba na kibinadamu, na hakuna aliyemfanya kitu.

Sasa hapo kumpunguzia rais madaraka kutakusaidiaje?

Yani wewe una benki, una mteja ambaye anaweza ku hack system yako ya benki akachujua hela anazotaka, hela zake na zisizo zake. Halafu, tatizo hilo unataka kulitatua kwa kuweka sheria kwamba huyu mtu tumpunguzie kiwango cha pesa anazoweza kuchukua kwa siku. Sheria ambayo hataijali na ataweza kuivunja kirahisi tu.

Hiyo sheria yako mpya ya kumpunguzia kiasi cha fedha za kuchukua kila siku itakusaidiaje kuzuia mteja kuendelea kuku hack na kuchukua hela zaidi ya zilizo kwenye akaunti yake?
KATIBA Si kijitabu,

Umeamua kukaa angle dhaifu sana.

Hapo USA unaweza kutamka hayo ukaeleweka?
 
Turudi kwenye mada,

Si sawa kiongozi wa Nchi kutukanwa matusi ya nguoni na wananchi hadharani.

Na hitaji la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote ni muhimu sana Kwa sasa.
Rais anatakiwa kuwa ndiye mtu mwenye protection ndogo kabisa kuliko mtu mwingine yeyote yule nchi nzima kwenye suala la kutukanwa.

Kwa sababu, kutykanwa ninsehemubyabuongozinwa kisiasa, mtubasiyetakankutukanwa hafai kuwa kiongizibwa kisiasa, huwezi kuingiza watu karibu milioninsabini halafu ukategemea usitukanwe na hata mmoja.

Pia, wananchi kuruhusiwa kutukana viongizi ni kitu kizuri kwa demokrasia. Ninkitubkizuri kwa wananchi, lakini oia ni kitu kizuri kwa viongozi.

Ni kitu kizuri kwa wananchi kwa sababu ni sehemu ya haki zao za kujieleza. Ni sehemu ya nafasi ya wananchi kuoeleka ujumbe kwa viongozi. Ni sehemu ya wananchi kutoa boiling frustrations zao.

Ni kitu kizuribkwa viongizi kwa sababu inawapa viongozi feedback. Inaweza hata kuvipa vyombo vya usalama nafasi ya kuzuia mapinduzi ya nguvu.

Yani serikaki ikibana sana watu kumtukana rais, inaweza kujinyima nafasi ya kuzima mapinduzi ya kumpiga risasi rais.

Yani ike nafasi ya watu kumtukana rais inaweza kurahisisha kazi ya kumlinda rais asiuawe. Nchi inayoruhusu rais kutukanwa sana inaweza kuwa na polisi ambao wanaweza kumlinda vizuri rais asipigwe risasi kuliko nchi ambayo unazuia sana rais asitukanwe.

Unafikiri hao watu walioendelea kiuchumi na kiteknolojia kabla yetu walioweka mbele sana freedom of speech wakaruhusu marais, wafalme, mawaziri wakuu wao kutukanwa sana ni wajinga?

Kuhusu katiba mpya, katiba mpya ni muhimu sana sana sana, sina ubishi hapo.

Ila, msifanya "katiba mpya" kuwa kama some religious chant. Kila tatizo jibu lake mnasema "katiba mpya" tu.

Kuna matatizo mengine makubwa kuoita katiba mpya.

Mfano, matatizo ya kiutamaduni ambayo ni pamoja nanutamaduni wa kutoheshimu katiba hayawezi kutatuliwa na katiba mpya.

Yani ukiwa na tatizo la utamaduni wa kutoheshimu katiba, katiba moya haitataua tatizo hilo, kwa sababu, tatizo ni kutoheshimubkatiba, sasa utatatuaje tatizo la kutoheshimu katiba kwa kutumia katiba?

That is a contradiction. A catch-22. Circular logic. A snake trying to feed on it's own tail.
 
KATIBA Si kijitabu,

Umeamua kukaa angle dhaifu sana.

Hapo USA unaweza kutamka hayo ukaeleweka?
Katiba ni kijitabu tu.

Kinachoipa katiba nguvu ni watu watakaoisimamia.

Kama una katiba nzuri sana lakini watu hawajui na hawataki kuisimamia, wanaipotezea, katiba hiyo itakuwa haina impact, itabaki kuwa kijitabu tu ambacho hakina impact.

Watu ndio wanaipa katiba uhai.

Usichoelewa ni kipi hapo?

USA watu wanachoma moto bendera yao, wanachoma moto katiba, hizo ni symbols tu, kitu muhimu zaidi ya symbols ni watu wenyewe na impementation ya ideals.

Wanaelewa katiba ni kijitabu tu. Bendera ni kitambaa tu.

Wanachoma moto bendera na katiba kwenye protests kama sehemu ya free speech.

Sasa wewe umeweka mbele symbols kuliko the actual implementation of ideals.
 
Kivuruge ni zao la Kikwete naye bila shaka anajuta kumuibua sasa anamtukana mbele ya hadhara akidai yeye ndiye mfadhili wa watukanaji.
 
Kivuruge ni zao la Kikwete naye bila shaka anajuta kumuibua sasa anamtukana mbele ya hadhara akidai yeye ndiye mfadhili wa watukanaji.
Nilimuona Mzee yule kushindwa hata kumtizama RC akikaa kitini, na sijui kwanini viti vyao viliwekwa karibu!!
 
Katiba ni kijitabu tu.

Kinachoipa katiba nguvu ni watu watakaoisimamia.

Kama una katiba nzuri sana lakini watu hawajui na hawataki kuisimamia, wanaipotezea, katiba hiyo itakuwa haina impact, itabaki kuwa kijitabu tu ambacho hakina impact.

Watu ndio wanaipa katiba uhai.

Usichoelewa ni kipi hapo?

USA watu wanachoma moto bendera yao, wanachoma moto katiba, hizo ni symbols tu, kitu muhimu zaidi ya symbols ni watu wenyewe na impementation ya ideals.

Sasa wewe umeweka mbele symbols kuliko the actual implementation of ideals.
We ni mbishi sana, kama tu watu wa chigoma😀
 
We ni mbishi sana, kama tu watu wa chigoma😀
Hii ni logical fallacy, inaitwa ad hominem.

Umeshindwa kwenye hoja, unamkashifu mtoa hoja.

Kwa sababu huna hoja.

By the way. Bila watu wabishi usingekuwa na teknolojia hii ya kuwasiliana kwenye internet. Kuna watu waliibishia dunia ya kuwasiliana kwa barua wakaweka teknolojia ya kuwasiliana kwa urahisi zaidi.

Kwa hivyo usiubeze ubishi kama kitu kibaya.

Mara nyingi sana maendeleo yanahitaji watu wabishi wabishie mawazo potofu ya kizamani ili kusogeza jamii mbele.

Kujiongeza kwa Hegelian dialectic ya thesis, antithesis na synthesis haiwezekani kufanyika bila ubishi.

Na hiyo Hegelian dialectic iliyojengwa kwenye ubishi ndiyo imebeba maendeleo yote ya kimantiki na kisayansi.

Kwa hiyo, usibeze ubishi.
 
Back
Top Bottom