Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hapa kuna kampeni za 2025 tu zimeanza.Kuchorwa katuni ni tusi?.
Kamahuwezi kuhimili hata hilo basi usiwe kiongozi.
Btw, tusi ni subjective.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa kuna kampeni za 2025 tu zimeanza.Kuchorwa katuni ni tusi?.
Kamahuwezi kuhimili hata hilo basi usiwe kiongozi.
Btw, tusi ni subjective.
Mihemko ya wananchi mitandaoni hiyo Si serious sana,Kinachosanabisha matusi ni hali halisi ya yanayoendelea huku mtaani. Kama mambo yangekuwa yapo sawa haya matusi yasingethiri halafu kumbuka haya matusi yapo toka enzi za Mitume. Ni kawaida sana na hauwezi ukazuia mihemko ya watu.wacha tuone hao watu wakitajwa kama matusi yatakoma
Ngoja watajwe tuoneMihemko ya wananchi mitandaoni hiyo Si serious sana,
Mbaya ni kutukanwa Kwa Siri na viongozi uliowateua mwenyewe,
Huoni tatizo hapo?
Ni vigumu kabisa, hivyo Kuna kila sababu ya katiba mpyaWanajitoa ufahamu,
Kibri Cha kutofuata Katiba linatokana na Kinga na mamlaka ya juu na kutoshtakiwa.
Rais ni sehemu ya bunge, bunge linaanzaje mchakato wa kupeleka HOJA ya kutokuwa na Imani naye?
Mkuu nakuunga mkono. Usemalo ni kweli Mkuu, hata DRC Congo inakaba moja nzuri sana ila usimamizi wake sasa ndio mtihani, hapo ni suala wananchi.Katiba ni kijitabu tu.
Kinachoipa katiba nguvu ni watu watakaoisimamia.
Kama una katiba nzuri sana lakini watu hawajui na hawataki kuisimamia, wanaipotezea, katiba hiyo itakuwa haina impact, itabaki kuwa kijitabu tu ambacho hakina impact.
Watu ndio wanaipa katiba uhai.
Usichoelewa ni kipi hapo?
USA watu wanachoma moto bendera yao, wanachoma moto katiba, hizo ni symbols tu, kitu muhimu zaidi ya symbols ni watu wenyewe na impementation ya ideals.
Wanaelewa katiba ni kijitabu tu. Bendera ni kitambaa tu.
Wanachoma moto bendera na katiba kwenye protests kama sehemu ya free speech.
Sasa wewe umeweka mbele symbols kuliko the actual implementation of ideals.
Uongo,Mkuu nakuunga mkono. Usemalo ni kweli Mkuu, hata DRC Congo inakaba moja nzuri sana ila usimamizi wake sasa ndio mtihani, hapo ni suala wananchi.
Kenya ilikuwa na katiba mbovu kuliko hata ya kwetu lakini kwa sababu ya uelewa na msimamo wao walitoboa.
Unafurahia kiongozi wako kutukanwa na watu aliowateua, ofisi Moja?Jibu sahih na jepesi: NDIYO, TUNAFURAHIA.
Kama una utamaduni wa kuheshimu kanuni hata mama yako aliyekuzaa akivunja kanuni unamueleza na kumrejesha mstarini kikanuni tu.Bila hata kuvunja heshima yake kama mama mzazi.Unaanzaje kumchukulia hatua au kumuwajibisha aliyekufinyanga akakuweka ulipo.
🤔🙄👌Hivi ni kina nani walikuwa wanatoa siri za ikulu na kumpa huyo binti wa Marekani na upinzani wakati wa JPM, kuna taarifa ni Samia na hao vijana wake ndio walikuwa wahusika wakuu. Kwahiyo nafikiri ni sahihi kusema wanajuana.
Samia alipoingia tu kwenye kiti waliacha kuvujisha taarifa za ikulu.
Nani anafaidika.Huo uzushi ni kwa maslahi mapana.
Chama na serikali.Nani anafaidika.
Kwahiyo tutegemee PDF mpya soon!!Chama na serikali.
Mkuu naona unabisha for the sake of it ila hujaamua kuelewa hoja ya ndugu Kiranga.Uongo,
Kenya wametoboa baada ya Katiba mpya, Si kabla ya Katiba mpya.
Katiba si inakuruhusu kufanya hivyo?Unaanzaje kumchukulia hatua au kumuwajibisha aliyekufinyanga akakuweka ulipo.
Mkuu,Uongo,
Kenya wametoboa baada ya Katiba mpya, Si kabla ya Katiba mpya.
Kwa nini wabunge na wananchi hamkukemea na kupinga agizo lake kwa kutumia katiba iliyopo?Asingekuwa na Kinga ya kutoshtakiwa,
Asingediriki kuzuia mikutano ya hadhara.
Mamlaka ya Rais makubwa, ndiyo chanzo Cha matatizo yetu nchini.
Mkuu,Mkuu nakuunga mkono. Usemalo ni kweli Mkuu, hata DRC Congo inakaba moja nzuri sana ila usimamizi wake sasa ndio mtihani, hapo ni suala wananchi.
Kenya ilikuwa na katiba mbovu kuliko hata ya kwetu lakini kwa sababu ya uelewa na msimamo wao walitoboa.