- Thread starter
- #81
Sawa,Hii ni logical fallacy, inaitwa ad hominem.
Umeshindwa kwenye hoja, unamkashifu mtoa hoja.
Kwa sababu huna hoja.
By the way. Bika watu wabishi usingekuwa na teknolojia hii ya kuwasiliana kwenye internet. Kuna watu waliibishia dunia ya kuwasikiana kwa barua wakaweka teknolojia ya kuwasikiana kwa urahisi zaidi.
Kwa hivyo usiubeze ubishibkama kitu kibaya.
Mara nyingi sana maendeleo yanahitaji watu wabishi wabishie mawazo potofu ya kizamani ili kusogeza jamii mbele.
Kujionheza kwa Hegelian dialectic ya thesis, antithesis na synthesis haiwezekani kufanyika bila ubishi.
Na hiyo ndiyo imebeba maendeleo yote ya kimantiki na kisayansi.
Kwa hiyo, usibeze ubishi.
Ngoja nipate chochote tumboni,
Nakurudia.