Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mie sijaajiriwa ila kazi yangu nafanyaga hata Sasa naifanya mteja akija anakuta imeisha anaenda kuona akipenda analipia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂🙌😂 😂 😂 😂 😂
Usitupangie cha kufanya, hata kushinda mtandaoni nayo ni kazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tupo dadaTukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
Ni kucheza tu bao kijiweni na kurudi home kula..mwisho wa mwezi tunadai chetu.Tuna nyumba za urithi🤣🤣🤣
Upo mangi?
Mahondaw hajambo?Mambo yao waachie wenyewe...
Hahaha babu Zale hawakuw na kyamba🤣🤣 walicheza disco sana miaka ileNi kucheza tu bao kijiweni na kurudi home kula..mwisho wa mwezi tunadai chetu.
Kushinda mtandaoni nayo ni KAZI kama hujui, Kuna bloggers, Authors, wafanyabiashara rudi form one usome what is work utapata majibuUmofya kwenu members! Umofya tena !!!
Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?
Nawasilisha
Mpfyuuuuuuuuuuuu weweNa wewe muda huu unafanya nn humu ...hii inaonyesha wew ni kiazi sanaa maana hujui kwamba wakati wewe unaamka wengine ndo wanaenda kulala
Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot [emoji1] hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
Wengine wanapata Bill 1 kwa masaa 2Ulishawahi kujiuliza swali; mwingine kikao cha nusu saa anasaini milioni; mwingine anaponda kokoto kwa mkono kwa muda wa miezi miwili ili ajaze tipa na apate laki mbili?
Wanao saini million kwa saa hawafahamu hata jf inafananajeUlishawahi kujiuliza swali; mwingine kikao cha nusu saa anasaini milioni; mwingine anaponda kokoto kwa mkono kwa muda wa miezi miwili ili ajaze tipa na apate laki mbili?