Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
 
Fact

Bravo Genta, Genius kutoka chuo bora Afrika nzima, SAUT
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
 
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
Sema mademu wa SAUT hawana akili mkuu

Nikiwa bado mwanafunzi wa sekondari A levo 2009, nikiwa likizo kuna manzi alikua anasoma BA Economics mkali sana akanichukua nikamfanyie mtihani wa hesabu (QM) or something maana nimesahau code name kwa makubaliano anipe mbususu

Alinipa mbususu nikaichakata sana then nikaenda kumfanyia mtihani
 
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
Hiki chuo wamepita watu wazembewazembe mno
 
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
Build the city of God.
 
Makocha pia huwa wanakosea kwa hiyo mijadala Kama hiyo ni kumtahadharisha kocha. Kwenye mechi ya ngao ya hisani yule kocha alipomtoa Chama timu ilizidi kuwa na hali mbaya na yanga wakashinda. Pumba zingine huwa unabaki nazo kichwani mwako.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Ajabu hawaji kumtetea mungu mtu wao, ndio kwanza wameukimbia uzi!.
 
Hii point namba3 sijui ni mwaka gani huo ambao Simba ilicheza robo fainali ya CAFCL pasipo kuwepo Chama. Kumbukumbu zangu ni CAFCC ndio Simba walicheza robo fainali bila Chama
 
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
Duh kwaio toka Nov 2009 hadi leo bado ni jobless. Aisee kumbe umesota miaka mingi sana vijiwe vya kahawa
 
Back
Top Bottom