Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
Point
 
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
Umenifurahisha hapo kwenye MBUMBUMBU.

By the way, Manula hakupewa hela ili afungwe goli la vile..!!?? Maana magori ya vile yakifungwa na Yanga huwa mnasema Yanga wametoa hela. Wana Mbeya wale nao walimwaga mpunga..!!??
 
Asante sana Mkuu na ulipokitaja Chuo Kikuu changu pendwa cha SAUT Mwanza ambacho Kimenipika na kufanya niogopwe Kiakili hata na wenye Masters na Doctorates zao wakati Mimi nina Degree yangu hii Moja tu niliyotunukiwa na Genius, Mwalimu wangu wa Somo la Media Law na Former Vice Chancellor wangu Fr. Dk. Charles Kitima Novemba mwaka 2009.

Asanteni SAUT Mwanza nawapenda.
Mwaka 2000 ulikuwa la ngapi?
 
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
Kingine ungekuja kupinga uungu wa Chama kwa takrimu.
Jumla ya mechi alizocheza
Idadi ya nafasi alizotengeneza akiwa Simba
Idadi ya Assist alizotengeneza
Idadi ya magoli aliyofunga

Hakuna timu duniani isiyofungwa, hata hizo timu zina GOAT lakini zinafungwa pamoja na kuwepo kwake. Kinachoangaliwa ni mchango wa mchezaji katika timu na mchango ni takwimu. Ni mchezaji gani pale Simba anaweza kuvaa viatu vya Chama? Unganisha hata wawili au watatu kama wapo.
Scars
 
Alikuwa kwao mara ujitani na kamasi puani
Maana anatupigiaga kelele sana as if chuo kikuu kasoma peke yake..!! Nimemuuliza mwaka huo alikuwa la ngapi maana ili ajue kuna waliofika chuo kikuu wengi tu humu tena wengine wana umri sawa na wazazi wake
 
Kingine ungekuja kupinga uungu wa Chama kwa takrimu.
Jumla ya mechi alizocheza
Idadi ya nafasi alizotengeneza akiwa Simba
Idadi ya Assist alizotengeneza
Idadi ya magoli aliyofunga

Hakuna timu duniani isiyofungwa, hata hizo timu zina GOAT lakini zinafungwa pamoja na kuwepo kwake. Kinachoangaliwa ni mchango wa mchezaji katika timu na mchango ni takwimu. Ni mchezaji gani pale Simba anaweza kuvaa viatu vya Chama? Unganisha hata wawili au watatu kama wapo.
Scars
Hopeless.
 
Hii point namba3 sijui ni mwaka gani huo ambao Simba ilicheza robo fainali ya CAFCL pasipo kuwepo Chama. Kumbukumbu zangu ni CAFCC ndio Simba walicheza robo fainali bila Chama
Huna Akili.
 
Weka picha ili tuwe na uhakika kama ulisoma SAUT kweli sio blah blah blah.


Katika maisha halisi mesoma Diploma ya Ualimu Butimba TTC ila JF umesomea SAUT.

Something is missing in ur head
Cookie na Moderators Wengine wa JamiiForums Paw, YinYang, Active, Moderator na JamiiForums nimeshawalalamikiemi mno kuhusu huyu Mtu ambaye leo niseme Kwenu kuwa mnamlea mno na huenda pia mkawa mnafurahia jinsi anavyopenda Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia na hata Kunidhalilisha kwa kila Mada ambayo naianzisha hapa JamiiForums.

Najua anachokitaka ni Majibizano nami kisha nipandwe na Hasira ( Jazba ) na nianze Kumjibu hovyo kisha upesi sana Watu Wanaonichukia hapa Waniripoti Kwenu na mnipe BAN ya Wiki Mbili, Mwezi au Miezi Mitatu afurahie / Wafurahi.

Mimi mbona hata huwa sijishughulishi na Mada zake hapa JamiiForums? Hivi kama hanipendi GENTAMYCINE na havutiwi na Uwasilishaji wangu wa Masuala hapa JamiiForums kwanini haachani na Mimi na Kutwa amekuwa ni Mtu wa Kunifuatafuata tu?

Tafadhali kama huyu LIKUD anatumika Kimkakati ili Kunichokoza Kimakusudi GENTAMYCINE ili nihamaki nijibizane nae na mnipige BAN nisiwepo hapa JamiiForums semeni tu Wazi Kwangu kuwa nanyi hamnitaki na sitakiwi ili niwaachieni Jamvi lenu hili kwa Amani sawa? Inakera.

Na mwambieni huyu Mtu kuwa hawezi / haiwezi kamwe Vita ya Maneno na Majibizano nami hapa JamiiForums kama nikiamua ila Najiheshimu, Nauheshimu huu Mtandao Wenu na nawaheshimu sana Followers wangu na hata wale Wanaonikubali hivyo sitaki Kuwakwaza.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo

Na naomba hii post isifutwe tafadhali.
 
Cookie na Moderators Wengine wa JamiiForums Paw, YinYang, Active, Moderator na JamiiForums nimeshawalalamikiemi mno kuhusu huyu Mtu ambaye leo niseme Kwenu kuwa mnamlea mno na huenda pia mkawa mnafurahia jinsi anavyopenda Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia na hata Kunidhalilisha kwa kila Mada ambayo naianzisha hapa JamiiForums.

Najua anachokitaka ni Majibizano nami kisha nipandwe na Hasira ( Jazba ) na nianze Kumjibu hovyo kisha upesi sana Watu Wanaonichukia hapa Waniripoti Kwenu na mnipe BAN ya Wiki Mbili, Mwezi au Miezi Mitatu afurahie / Wafurahi.

Mimi mbona hata huwa sijishughulishi na Mada zake hapa JamiiForums? Hivi kama hanipendi GENTAMYCINE na havutiwi na Uwasilishaji wangu wa Masuala hapa JamiiForums kwanini haachani na Mimi na Kutwa amekuwa ni Mtu wa Kunifuatafuata tu?

Tafadhali kama huyu LIKUD anatumika Kimkakati ili Kunichokoza Kimakusudi GENTAMYCINE ili nihamaki nijibizane nae na mnipige BAN nisiwepo hapa JamiiForums semeni tu Wazi Kwangu kuwa nanyi hamnitaki na sitakiwi ili niwaachieni Jamvi lenu hili kwa Amani sawa? Inakera.

Na mwambieni huyu Mtu kuwa hawezi / haiwezi kamwe Vita ya Maneno na Majibizano nami hapa JamiiForums kama nikiamua ila Najiheshimu, Nauheshimu huu Mtandao Wenu na nawaheshimu sana Followers wangu na hata wale Wanaonikubali hivyo sitaki Kuwakwaza.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo

Na naomba hii post isifutwe tafadhali.
Tulia mtoto wa kiume hakuna kulia lia eboo
Mnajisifu mmefanyiwa jando bila ganzi pambana sasa
 
Athumani China ilikuwa ni “mashine” ile. Alikuwa hachoki, yeye ni kuinasa mipira na kutawanya. Alikuwa anaitwa “sumaku”; sababu ya kunasa mipira pale katikati.
 
Athumani China ilikuwa ni “mashine” ile. Alikuwa hachoki, yeye ni kuinasa mipira na kutawanya. Alikuwa anaitwa “sumaku”; sababu ya kunasa mipira pale katikati.
Chama wenu / wao hata hajafikia 50% yake na 50% ya Gaga nashangaa Wapuuzi wanavyompamba na kumfanya Mungu Mtu wao ndani ya Simba SC.
 
Back
Top Bottom