[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1] Eti vita ya Maneno. Hapo nimekudhihaki wapi. Nimesema weka ushahidi unao ONYESHA umesoma SAUT. Walio soma SAUT wengi huwa hawapendi kujulikana wamesoma SAUT wakiwa mtandaoni hujifanya wamesoma UDSM.
Walio soma BUTIMBA TTC ndio huwa wanajifanya wamesoma SAUT ndo maana nimekwambia uweke ushahidi.
Kuni chongea KWA mods kuna ONYESHA kabisa wewe ni ticha