Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Unawaonea wivu wanawake?

Tunaanza kwanza na Mashoga. Vumilia
 
Ndo hivo
Ndo hivyo, Siku ukiwakuta na mkeo ujue wameruka ukuta. Usiwatukane wewe pita kimya kimya tu
 
Kwa ivo mwanaume kwa mwanamke ni sawa tu!! Yaani ni sawa kwa mwanaume kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke!!??
Nafikiri ni vizuri kuelewa muktadha wa hii issue. Mapenzi kwa watu wa jinsi moja mwanaume kwa mwanaume au mwanamke kwa mwanamke ndiyo hoja. Mwanamke na mwanaume wakishajifungia sehemu kinachofanyika na namna kinavyofanyika ni juu yao na makubaliano yao.
 
Msengapavi kuna swali nauliza sijibiwi.

1. Jee Mwanaume kwa mwanaume wakifanya mambo yao faragha hakuna shida??

2. Mwanaume kumuingilia mwanamke kinyume cha maumbile mradi wanafanyia chumbani kwao hakuna shida??
 

kwanza unatakiwa ujue madhara ya kumwingilia mtu kinyume na maumbile ni kwamba unatanua anus hivyo kuzuia haja kubwa au ushuzi inakuwa taabu kubwa. shida kubwa hapa kwa wanaume .akili zao sijui zimewekwa matakoni. Mungu kwa upendo mkubwa kabisa aliona watoto wake wa enjoy sex.akawaumba wanawake wakiwa na sehemu za siri zenye sura nzuri kabisa ya kutamanisha.katobo kazuri kabisa.sasa wewe mwanaume mwenye akili kweli unaingizaje ume wako kwenye mavi? iwe kwa mwanaume mwenzio au kwa mwanamke ,why uingize penis yako kwenye sehemu ya kutolea mavi na ushuzi? mimi nasema kwamba mashoga na wanaowangillia wanawake kinyume na maumbile wana ugonjwa wa kifafa ambao uko sehemu ya temporal lobe .kwa kitalamu ugonjwa huu unaitwa temporal lobe epilepsy. WATU wenye kifafa cha aina hii wakinusa mavi wanasikia harufu nzuri sana.sasa imagine wewe unajua kuwa sehemu hii niya kutolea mavi then unaingiza umme humo huoni kinyaa .tutasema kweli ni mzima?
 
Kuna watu wanajaribu kuhalalisha upuuzi wa kuwaingilia wake zao kinyume na maumbile kwa hoja dhaifu kwamba eti usipomwingilia ataingiliwa na watu wengine watakaomtongoza huko nje!Nyie watu ondoeni hizo perceptions kwani mnakosea Mungu kwa sababu mnachuma dhambi za kunyanyasa mama zetu zisizo na mashiko.Hata kama utapata anayependa hivyo mkanye ww mwingilie kunakoruhusiwa asepe kama ni mke alale

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Shoga katika ubora wako!!!
 
Wewe Ni wale wale TU,kwani umesikia wapi wamarekani wanahamasisha kuf****** hoja ni mapenzi ya jinsia moja ambayo automatically watu Hawa unajua kwamba katika jamii wanaleta madhara makubwa kuhusiana na maadili na asili ya maumbile ya mwanadamu, mfano: Leo hii wewe uolewe na mwanaume mwenzio maana yake Ni kuwa watu wataanza kuona maajabu Kwa Sababu lengo la watu kuoana Ni kuzaliana.
Lakini mwanamke anaweza kuolewa na Hakuna ambaye anaweza kuwaza kuwa atazaaje na atafanye mapenzi Kwa kuwa anacho ambacho mungu kamuumbia Kwa kuendeleza kizazi,Ila suala la kuf*****, utakuwa Ni ushenzi wao Hakuna hatakaye fikilia kuwa wataenda kufanya.
Lakini Kwa mwanaume kuolewa na mwanaume hapo ufi***ji utafikiliwa na utakuwa Kwa kuwa mwanaume hana K Ila anayo Nye na mb, lengo la wanaoleta ujinga huu ni kujiakikishia utawala wao katika dunia hii hawa wanaleta tatizo ili wanajua hatma yake na ndio watakaoleta utatuzi ili waendelee kutufanya nyumbu wao.
Wewe ujiulizi Kwanini Hawa ambao unasema wamezaliwa hivyo wapo sasa hivi TU baada ya utandawazi kutamalaki Ila zamani walikuwa wapi? Ninachojua ambacho ungeshauri Kwa hilo kutoa elimu Kwa jamii ni kukemea vitendo hivyo Kwa wote wenye michezo hiyo,hasa ukizingatia kwamba ushoga karibia 99% unasababishwa na matendo ya wanadamu na si maumbile ya mungu.
 
Binafsi nafikili kumuingilia mwanamke kinyume cha Maumbile ni ushoga vile vile kama ilivyo otherwise, lkn Wanawake wenyewe wanasemaje ? Why wako kimya , Kazi yao kubwa ni Kuwa machawa na Kwenda Kumpongeza bi Tozo tu, hili la Kumenywa takoni hawalipigii kelele kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…