Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Katika viumbe wa ajabu ambao sijapata kuwaona ni WANAUME AISEE..YAAN MWANAUME MZIMA UNAMUINAMISHA MWANAUME MWENZIO ????? Aisee nyie ni viumbe wa aina yenu

Msiba mzito
Dada mbona hata ninyi mnakulana KE kwa KE! Tena unaambiwa hilo penzi kuvunjika huwa ni ngumu hata iweje,labda afe mmoja.
 
Hatutaki mapenzi ya jinsia moja
 
Hatutaki mapenzi ya jinsia moja
Tatizo la Mashoga wanataka tuwahudumie na kuwashangilia kila wakati.
1. Tuwaozeshe
2. Wawafundishe Ushoga watoto wetu sisi (wao hawazalishi watoto)
3. Tuwahudumie kila wanapo pita.
4. Tusiwacheke kabisa
5. Tuwaone watu muhimu sana katika jamii.
6. Hawana habari na maendeleo wao ni Ushoga na Starehe
Nakadharika.

Wakati
1.Hakana mtu anaye Wawinda Mashoga.
2. Huko Chumbani wanapo furahishana hakuna anaye wakataza wala kuwakamata.

Tatizo lao kuu wanataka wawafundishe watoto wetu sisi wawe Mashoga kama wao na sisi ndio hatutaki.
Wazae watoto wao ndio wawafundishe huko ndani kwao.

Hili ndio tatizo linalo fanya tuwachukie Mashoga.
 
Mashoga wanataka uhuru wa wao kuoana, maana hawataki kujibanaa, hawajasema wanataka watu wote wawe mashoga hapanaaa
Kuweni waelewaa.
 
Halafu tupo tunaopinga hata kunyonyana mashine ...na style zote ambazo dini hazitaki ...tunataka style moja Tu ya kifo cha Mende...
Vyama vije na Sera ya Ku address hili pia ... vinginevyo hatuwapigii kura
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wengi wanaowaingilia kinyume na maumbile wanaume na watoto mimi nahisi wameanzia kwa wanawake. Sasa baada ya kuzoea wanaanza kuruka na mashoga na watoto wadogo walioharibiwa.

Kimsingi wanawake wengi sana wanaingiliwa kinyume na maumbile aidha kwa wao kushawishika au kushawishi wanaume. Ni mchezo ambao unaonekana unafanywa sana na wanaume wasiotosheka kingono.

Na nadhani chanzo ni wanaume kutoridhika na matundu ya wanawake wa kisasa ambayo yanaonekana aidha kukosa ule mbano unaotakiwa katika shimo sababu ya kutumika sana na kupitisha mtoto au watoto miongoni mwa sababu nyingine.

Ushoga nadhani unapigwa sana vita sababu ni unaribifu wa jinsia ME so ni sahihi sana kuupinga na kuupiga vita. Mtoto wa kiume mara akishakuwa shoga ni ngumu sana kurejea uhalisia wake tena hata iweje maana inamtoa uanaume forever. Ndio maana unaona vitabu vya dini vimekemea sana hilo swala la ushoga na sidhani kama kunasehemu wameongelea wasagaji maana madhara kwa mwanamke msagaji ni madogo sana na anaweza rekebika akitaka kurejea sawa.

Ila mwanaume shoga akishafanya sana ni ngumu sana baadae kuja kujirudi awe sawa maana anakuwa tauari uanaume wake umeondoka na uanaume ukishaondoka huwa haurudi tena maisha yote hata ufanye nini au utubu vipi hiyo dhambi ya ushoga.

So vita viendelee.
 
We jamaa uko sawa kabisa jamii imesahau kuwa tendo linalofanywa ni lile lie kwa wanawake na wanaume njia ni ile ile kwao wote. Ajabu unakuta Ke anayeingiliwa kinyume naye anapinga ushoga.
Wanachekeshaaaa mnoooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ongezaaaa sautiiiiiiiii.
 
Kimsingi wanawake wengi sana wanaingiliwa kinyume na maumbile aidha kwa wao kushawishika au kushawishi wanaume. Ni mchezo ambao unaonekana unafanywa sana na wanaume wasiotosheka kingono.
Jee hili jambo halistahili kupigwa vita!!??
 
Penal code ya kulawiti ni moja , haijalishi jinsia , unless kama unataka kuwe na double standard kwenye kutekeleza adhabu hiyo
Hata kifungu cha sheria kinasema ulawiti na sio ushoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…