raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Bado embu sema tena πKugandiana hapana bana π€ Mkishapitiwa na usingizi kila mmoja anageukia upande wake π
We cheka tu. Na vyeo vyako au minyota yako kazini,kijumba chako ulichojenga kwa pesa yako, ki V8 chako ulichopata kwa jasho, af uambiwe eti mbwa wewe njo ulale huku. DadeekiNimecheka sana hii
Ujue tunakuheshimu humuNdiyo ndioo[emoji91][emoji91][emoji91]
ππππ Acha ujinga banaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ama kweli kila mtu na starehe yake.
Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.
Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kwani we unanijua, hiyo ndio yangu really π€£πππππ Acha ujinga banaa
Weka yako really
Na ww unaitika kama vile hujasikia utasikia mmmhhh ππUtasikia, geukia huku basiπ
Wewe sio marehemu πππKwani we unanijua, hiyo ndio yangu really π€£π
Halafu nilitaka kweli niyaone maoni yako ktk hili bβ¦Inategemea mnalalaje Mkuu, na pengine kupata ushauri mzuri ni vema ukasema mnalalaje hadi uone ni kama usumbufu.
Ova
Katika vitu mie mvivu basi ni kupiga picha, yaani siwezi kabisaWewe sio marehemu πππ
Weka bas afu futa chapu
Liongo πππKatika vitu mie mvivu basi ni kupiga picha, yaani siwezi kabisa
Huwezi amini sina picha hata moja
Yaani unanifanya nitaman kuamka usiku huu nikatafute mpenzi [emoji23][emoji23]Hahahha ni raha sana yaaani. Unakuwa unafanya kazi ya kurudisha tako nyuma tu.
Full kupakana mijasho na miudenda πNi vile tuu wanaume hatupendi makelele yao ila ukweli haupo mwenyewe mwamba mbaya zaidi ukute la mama anaswet kama barafu inayo yeyuka ni shida kweli
Hahaa.. Umejuaje kama nafanana na braza k? ππ€£Liongo πππ
Weka bana hata km mnafanana na brass k sio mbaya
ππππ weka bas nawe tucheke, tuvute mjani tukohoe tulaleHahaa.. Umejuaje kama nafanana na braza k? ππ€£
We utakuwa ni mtabiri wewe. π€£
Njoo mtaani, utaniona utanifotoa na photo kabisa.ππππ weka bas nawe tucheke, tuvute mjani tukohoe tulale