raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Bado embu sema tena ๐Kugandiana hapana bana ๐ค Mkishapitiwa na usingizi kila mmoja anageukia upande wake ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado embu sema tena ๐Kugandiana hapana bana ๐ค Mkishapitiwa na usingizi kila mmoja anageukia upande wake ๐
We cheka tu. Na vyeo vyako au minyota yako kazini,kijumba chako ulichojenga kwa pesa yako, ki V8 chako ulichopata kwa jasho, af uambiwe eti mbwa wewe njo ulale huku. DadeekiNimecheka sana hii
Ujue tunakuheshimu humuNdiyo ndioo[emoji91][emoji91][emoji91]
๐๐๐๐ Acha ujinga banaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ama kweli kila mtu na starehe yake.
Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.
Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kwani we unanijua, hiyo ndio yangu really ๐คฃ๐๐๐๐๐ Acha ujinga banaa
Weka yako really
Na ww unaitika kama vile hujasikia utasikia mmmhhh ๐๐Utasikia, geukia huku basi๐
Wewe sio marehemu ๐๐๐Kwani we unanijua, hiyo ndio yangu really ๐คฃ๐
Halafu nilitaka kweli niyaone maoni yako ktk hili bโฆInategemea mnalalaje Mkuu, na pengine kupata ushauri mzuri ni vema ukasema mnalalaje hadi uone ni kama usumbufu.
Ova
Katika vitu mie mvivu basi ni kupiga picha, yaani siwezi kabisaWewe sio marehemu ๐๐๐
Weka bas afu futa chapu
Liongo ๐๐๐Katika vitu mie mvivu basi ni kupiga picha, yaani siwezi kabisa
Huwezi amini sina picha hata moja
Yaani unanifanya nitaman kuamka usiku huu nikatafute mpenzi [emoji23][emoji23]Hahahha ni raha sana yaaani. Unakuwa unafanya kazi ya kurudisha tako nyuma tu.
Full kupakana mijasho na miudenda ๐Ni vile tuu wanaume hatupendi makelele yao ila ukweli haupo mwenyewe mwamba mbaya zaidi ukute la mama anaswet kama barafu inayo yeyuka ni shida kweli
Hahaa.. Umejuaje kama nafanana na braza k? ๐๐คฃLiongo ๐๐๐
Weka bana hata km mnafanana na brass k sio mbaya
๐๐๐๐ weka bas nawe tucheke, tuvute mjani tukohoe tulaleHahaa.. Umejuaje kama nafanana na braza k? ๐๐คฃ
We utakuwa ni mtabiri wewe. ๐คฃ
Njoo mtaani, utaniona utanifotoa na photo kabisa.๐๐๐๐ weka bas nawe tucheke, tuvute mjani tukohoe tulale